Mapokezi ya Watoto wa Diamond Dar ni kufuru, Zari akataa kutumia ndege, awakodia helkopta

Zari naye katia timu Bongo au bado anatingisha KIBERITI hivyo kabaki RSA? Ila mie nawapenda hawa WAKIOANA itakuwa bomba sana
Sasa hiv wameshasolve bifu lao so unaona diamond anapata nafasi ya kuongea na watoto wake
 
Uongo mkubwaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
nawakumbusha kujikinga na Corona Corona Ina uwa
 
Nimependa tu uandishi wa msaga sumu. Naikumbuka nyuzi yako kuhusu Le Mutuz Superbrand Nye Nye Nye kuanzisha studio ya kisasa.
 
Asiyejua uandishi wa Msaga sumu na apinge hii habari hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…