Mapokezi ya Wema tishio


Acha upuuzi ww kujifanya unamjua wema kupitia picha
 
Hiv nan anayestahil kupokelewa achen wampokee kwa raha zao wNampenda watu mna roho kubwa kuliko miili yenu agh
 
Mtu asiye na ajira anaweza kodisha hivyo vyote hapo juu? Alafu Leo weekend waajiriwa wako mapumziko. Kila mtu na watu wake. Hakuna binadam anayekosa wawili watatu Wa kumpenda.

mine kuna kitu unajua nimejifunza..
kuna watu hapa duniani wameumbwa kuja kukatisha wenzao tamaa tu..

yani wako hvyo hawabadiliki na hawatobadilika
roho zao ni visasi na vinyongo they will never appreciate chochote ufanyacho as long as they hate uu

sijui huyu wema ana mabaya gani makubwa kwa waTZ baadhi mpk wamchukie hvyoo..

ila wakumbuke wao ni wazazi wa baadae tena watakua na mabinti au vijana MUNGU atawaonyesha tuuu

natamani nione malezi yao au the way they ar raising their kids..

they pretend to be so perfect...!!
WEMA BE WEMA FANYA WEMA NILIKUA NI MIONGONI MWA WASIOKUKUBALI BUT NOW NAKUKUBALI SANA
naimani hakuna kinachoshindikana duniani...MUNGU yupo nawe haya maneni yetu,sie wasaga sumu fanya km vile ndo silaha ya mapambano yako!!utafika tuu!!
 
tuache unafiki...!!! WEMA nae ni msanii ana mashabiki wake..!!! kwanini wasimpokee...! kila mtu na watu wake...!!
acheni kuwatukana mashabiki wa mtu...!!!

tena ni wanafki wa hali ya juu...
kwa kua ni wema ndo maana!!

kuna watu wana roho mbaya sana humu!
 
Nimesikia vibajaji vilipakia wengi pia hadi raha eti...Kwa kweli nimeona picha zao du sitaki kuongea kifupi ndio maana class yake imeshuka sanaaaaaaaa na inazidi.

Ungetuwekea picha mleta mada, maana hawakuwa wengi kwa inavyoongelewa pia.
 
Mie naona kama waliandaliwa hao watu. Coz sielewi walijuaje Wema atapita siku hii, muda wa kupita mpaka na gari anayotumia wameijuaje watu wa kimara. Hizi ni katika kutafuta kuandikwa na magazeti.
Kujua anakujaje na lini meneja Wa Wema kazi yake nini?
Kama huamini basi. Ila kuna kundi whatsapp la team Wema ni hatari. Kiingilio na michango ya kila mwezi ni nusu ya mshahara wako. Group lina members Wa rika zote, wa Tanzania walioko nchi tofauti n.k. eti washindwe kujichanga milioni ya mapokezi au milion 4 ya kumsapoti kwenye kampeni?? Km hupendwi ni wewe.
 

muambie huyooo ajue asikie....
na km hawaelewi wapeni notisi kabisa...
mi ntawapa mtihani next week!!
 
Wawe wameandaliwa, wawe wameenda kwa mapenzi yao, wawe jobless, wawe hawana shule, or whatever mwisho wa siku wanabaki kuwa mashabiki wa Wema.

Jamani ebu tujifunze ku appreciate kama hatuwezi tupite kimya kimya, eti mtu anatokwa povu kabisa hao wamenunuliwa!! Mi huwa nasema ukikubali kununuliwa basi ujue na wewe unakipenda hicho kilichokusababisha ununuliwe kwacho, Binafsi sijui utanilipa shilingi ngapi ili nikubali kupoteza muda wangu kwenda kucheza mdundiko hivyo, lakini I don't see the problem kama mtu kaamua kuuza muda wake kwenda kuyafanya yale ambayo mi siwezi kuyafanya. Ni yeye na maisha yake!

Wema Amethubutu hata kama hajafanikiwa ameonesha maturity, ni wakati wake sasa kubadilika na ku act her age, afanye kitu ambacho angalau kitamuweka kwenye Ramani kwa mara nyingine, ila naona akili ya huyu dada imejitahidi sana kukua, nikiangalia anavyoviandika kwenye instagram account yake sio siri ameimprove #sijuindomnyoosho !

Ikumbukwe tu sijawahi kuwa shabiki wa Wema kwa chochote kile alichowahi kufanya ila kwa kuwa kuna watu wanapenda all of her stuffs why should I hate!
 

Change for good. Sisi pia ni wanawake, tutazaa/tumezaa unapomlaani Wa mwenzako hujui wako atakuwaje. Unaandalia wanao laana bila kujua. Me huku celeb km sina cha maana cha kuposti ukweli sitakuja. Nimechoka kuchuma dhambi za kujitakia. Kukashifu na kuwanyima raha watu wasio na hatia. Muache Mungu awahukumu kwa mabaya yao.
 

kabisa usemavyo...mengine tumuachie mwenye mamlaka aliyetuumba
wema huyu anawapa watu presha mpk bas

mi nasomaga humu nawaambia kuna watu hapa ukute real life njaa tupu na makahab wa kutupwa..na hao wanaume ni good for nothing afadhali ya petit anamnage mirror..!!
wengine hapa wanatia ht huruma ila kutwaa na wema
nimeona bora niachane na chuki nae maana wema sasa hv anapendeka maana amebadilika namuombea MUNGU huyo mshauri aliyempata adumu nae,wale mashoga mashoga wote wa ajabu afukuze mbali...
 
Asiyeamini ana yake moyoni. Aongee na Mungu wake amtibie
 

Attachments

  • 1437942628529.jpg
    34.5 KB · Views: 488
  • 1437942637241.jpg
    41.2 KB · Views: 475
  • 1437942645531.jpg
    35.4 KB · Views: 473
  • 1437942655040.jpg
    49.4 KB · Views: 473
  • 1437942701119.jpg
    35.9 KB · Views: 445
Mie naona kama waliandaliwa hao watu. Coz sielewi walijuaje Wema atapita siku hii, muda wa kupita mpaka na gari anayotumia wameijuaje watu wa kimara. Hizi ni katika kutafuta kuandikwa na magazeti.
Chaguo la watu watasema,meneja wake kadinywa alikuwemo pale na group lote toka mchana.
Nyerere analia "watu wangu wanateketea kwa njaa"
 
Mwanamke akishatoa mimba makusud tu, namuonaga hana maana, takataka kabisa, siez mtetea au kumshabikia kwa chochote!
Poor you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…