Mapokezi ya Zanzibar heroes live Azam tv

Mapokezi ya Zanzibar heroes live Azam tv

''....my players were not hungry enough....''
Ninje

Asante
 
Zanzibar Heroes make a political statement -yes we can.
 
I thought so once; and now I know it, muungano is excess baggage, unnecessary burden. Zanzibar oyee.
 
Hatimaye Azam wamekatisha mapokezi mazito ya Zanzibar heroes na kumchomeka Mwana riadha Alphonse Simbu. Nini hii?
 
Hao viazi ndio wanaitwa mashujaa kwa kumaliza nafasi ya pili,warudi uku waanze kuvua pweza tu.
 
Hao viazi ndio wanaitwa mashujaa kwa kumaliza nafasi ya pili,warudi uku waanze kuvua pweza tu.
Wewe una wako Tanganyika wazanzibari wanayo Zanzibari Heroes chuki ya nini kati yangu na Wewe?
 
Pongezi kwa Kenya " Harambee Stars" kwa kunipigia hao wauza ulojo , nsona nchi kimyaaaaaaaa
 
baki na timu yako Tanganyika jeki wewe.. na mpira wenu wa magazeti

Wewe na timu yako ndio mnashangilia mafanikio yenu ya kucheza fainali alafu ndoo kanyanyua Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe na timu yako ndio mnashangilia mafanikio yenu ya kucheza fainali alafu ndoo kanyanyua Kenya [emoji23][emoji23][emoji23]
sanaa tumepata usd 20000 nyie mlirnda kutingisha matako mkarudi na zawadi ya point 1 ..[emoji3][emoji3] aibu sana
 
Back
Top Bottom