Mapovu..... tym....!!

Mapovu..... tym....!!

Aliyeanzisha uzi ni mwanamke?

Busara ya mwanaume iko wapi?MMU kumejaa malalamiko ya wanaume kuwasimanga wanawake tena kwa maneno ya kidhalilishaji kabisa
Unauhakika gani kama muanzisha mada ni mwanaume?
 
Mtumbua mkubwa ndio kitu watu wangevutiwa nacho
 
Halo halooo kwani mwanzo adamu na hawa siwalikuwa uchiii ......
Kwahiyo kitakuwa ni kitu cha kawaids
 
Wanawake,takataka vumbi zote zingekua zina kimbilia uko,embu piga picha Yale matrain ya gongo la mboto yanavyojaa alafu hawa viumbe ndo wanatoka mihangaikoni....shubaamiti!!
Dooh!! Mbavu zangu.
 
Halo halooo kwani mwanzo adamu na hawa siwalikuwa uchiii ......
Kwahiyo kitakuwa ni kitu cha kawaids
hahaha..!! Ila nyie wanawake nyuki wange tengenezea Asali kwenye papuchi zenu.... Ha ha ha....
 
hahaha..!! Ila nyie wanawake nyuki wange tengenezea Asali kwenye papuchi zenu.... Ha ha ha....
Tuelewe uumbaj wa mungu una makusudio yake so kama alivyowaumba Adam na Hawa wakiwa uchi, kwani ulifichwa ufahamu wao walikuwa na akili kama za wanyama wengine , lakin Leo mtu akiwa anaoga hata akipita mbuzi anaziba tupu zake, wakat kipind hicho Adam na Hawa walikuwa wanacheza nao na kulikuwa hakuna cha ajabu kwao. Lakin hata hivyo dah Miss Natafuta na Numbisa ningewachungulia sana
 
Ha ha ha...!!
Tuelewe uumbaj wa mungu una makusudio yake so kama alivyowaumba Adam na Hawa wakiwa uchi, kwani ulifichwa ufahamu wao walikuwa na akili kama za wanyama wengine , lakin Leo mtu akiwa anaoga hata akipita mbuzi anaziba tupu zake, wakat kipind hicho Adam na Hawa walikuwa wanacheza nao na kulikuwa hakuna cha ajabu kwao. Lakin hata hivyo dah Miss Natafuta na Numbisa ningewachungulia sana
hata mimi
 
Na mie ningekuchungulia pia
Tuelewe uumbaj wa mungu una makusudio yake so kama alivyowaumba Adam na Hawa wakiwa uchi, kwani ulifichwa ufahamu wao walikuwa na akili kama za wanyama wengine , lakin Leo mtu akiwa anaoga hata akipita mbuzi anaziba tupu zake, wakat kipind hicho Adam na Hawa walikuwa wanacheza nao na kulikuwa hakuna cha ajabu kwao. Lakin hata hivyo dah Miss Natafuta na Numbisa ningewachungulia sana
 
Wanawanake aise maana kukaa na poz yao yakutanua miguu km wanafanyiwa tohara spati picha.
 
Back
Top Bottom