Maproducer wa bongo huja na kupotea kama upepo. msichachawe na Mr. T Touch

Maproducer wa bongo huja na kupotea kama upepo. msichachawe na Mr. T Touch

Hakuna atakayekaa kwenye form mazima.. Muda ukifika atadrop, Nakumbuka Nay alitangaza kumzawadia t touch studio ya free nation. Sijui nini kimetokea free nation bado inamilikiwa na Nay
Kiburi cha Mt T kimemponza.kuna watu wajinga sana hapa dsm wamemshika masikio wakamlisha maneno hadi dogo kavimba kichwa
 
Mr.T Touch namjua na.Nay namjua,ndio Nay ana matatizo ila haikupaswa kuletewa jeuri coz katoa msaada sana
Kutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.
 
Kutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.
Uone mala ngapi mkuu?? Hujasikia pini ya Nay mpya,dogo kanyonga bonge la biti
 
Muda mwingine uwe unauliza watu walio karibu na Mr T touch siyo unaongea ongea tu kwa muda mfupi niliokaa na Mr T touch nimegundua ni mtu peace, asiye na makuu,mvumilivu na hayo mnayosema kuwa kamfanyia kiburi Mr Nay ni kwa kuwa katumia busara tu kutosema yote na Mr Nay yeye ndiyo kaongea mengi ili aonekane Mr T ndiyo mkorofi
All im all huyo t lazima amweshimu ney
 
Kutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.
Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaa
 
Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaa
Kumbe wewe una akili na unaelewa mambo kwa haraka.
 
Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaa
Hizo ni chuki zako binafsi kwa Nay,harafu wew himjui Mr T so jus keep quite
 
Back
Top Bottom