juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
- Thread starter
- #21
Kiburi cha Mt T kimemponza.kuna watu wajinga sana hapa dsm wamemshika masikio wakamlisha maneno hadi dogo kavimba kichwaHakuna atakayekaa kwenye form mazima.. Muda ukifika atadrop, Nakumbuka Nay alitangaza kumzawadia t touch studio ya free nation. Sijui nini kimetokea free nation bado inamilikiwa na Nay