juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,467
- Thread starter
-
- #21
Kiburi cha Mt T kimemponza.kuna watu wajinga sana hapa dsm wamemshika masikio wakamlisha maneno hadi dogo kavimba kichwaHakuna atakayekaa kwenye form mazima.. Muda ukifika atadrop, Nakumbuka Nay alitangaza kumzawadia t touch studio ya free nation. Sijui nini kimetokea free nation bado inamilikiwa na Nay
Hao wote kwa sasa hawajulikani walipo,wanarekodi matangazo tuUmenikumbusha kuna wana kama kalage na Niki dizzo wa EMADIA walichuana sana na Adam kabla wakina nisher hawaja chomoza.
Kwani huyo Ney hakusaidika na beats za T Touch? AngekuwMr.T Touch namjua na.Nay namjua,ndio Nay ana matatizo ila haikupaswa kuletewa jeuri coz katoa msaada sana
Sio kwasababu hawawezi kurekodi muziki mkuu, matangazo ndio yenye faida, muziki katika soko hili una wanufaisha wasanii na sio producers.Hao wote kwa sasa hawajulikani walipo,wanarekodi matangazo tu
Kutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.Mr.T Touch namjua na.Nay namjua,ndio Nay ana matatizo ila haikupaswa kuletewa jeuri coz katoa msaada sana
Uone mala ngapi mkuu?? Hujasikia pini ya Nay mpya,dogo kanyonga bonge la bitiKutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.
Cjaisikia kwa makini nikisikiliza nitakwambiaUone mala ngapi mkuu?? Hujasikia pini ya Nay mpya,dogo kanyonga bonge la biti
All im all huyo t lazima amweshimu neyMuda mwingine uwe unauliza watu walio karibu na Mr T touch siyo unaongea ongea tu kwa muda mfupi niliokaa na Mr T touch nimegundua ni mtu peace, asiye na makuu,mvumilivu na hayo mnayosema kuwa kamfanyia kiburi Mr Nay ni kwa kuwa katumia busara tu kutosema yote na Mr Nay yeye ndiyo kaongea mengi ili aonekane Mr T ndiyo mkorofi
Ni kweli na ninadhani Mr T anafanya hivyoAll im all huyo t lazima amweshimu ney
[emoji736]Sio kwasababu hawawezi kurekodi muziki mkuu, matangazo ndio yenye faida, muziki katika soko hili una wanufaisha wasanii na sio producers.
Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaaKutoa msaada ila siyo kigezo cha kumfanyia mwenzio awe mtumwa wako maana hata Mr T nae ana mchango mkubwa sana katika studio ya free nation. Mr T kahama na Nay kaleta producer mpya ngoja tuone.
Kumbe wewe una akili na unaelewa mambo kwa haraka.Ukisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaa
Hizo ni chuki zako binafsi kwa Nay,harafu wew himjui Mr T so jus keep quiteUkisikilza madai ya kila mmoj unakuja ona Nay ni mkora, coz alikua anamtesa mchizi kisa anatumia vyombo vyake pale free nation , jamaa akaona ajieengue ndo kufungua yake, baada ya hapo nay ndo kaanza manenk bt msela(T.touch), kaanza kujibu shutma zake juzi kati tu hapa baada ya Nay kua anaongea ongea sana kwenye media, kupotea anaeza kupotea ila sio kupotezwa na Nay coz nay kwa sasa ndo kapotea, hasikiki kabisaaaaa
Fid QKuna mstari unasema "Kufikia namba moja sio kazi ila kazi ni kuimudu na kukaa muda mrefu kwenye hio namba moja" sikumbuki aliutoa msanii gani
Kwahiyo wewe umeleta hapa uzi huu ili watu wakubaliane na uyasemayo au?Hizo ni chuki zako binafsi kwa Nay,harafu wew himjui Mr T so jus keep quite
Cheki ulivo linafiki, unajifanya mnajimu!Hapana Mkuu Wakati ni UKuta,Atampa Kijiti mtu mwingine nae arun the show.
Wewe ni mke wake?Hizo ni chuki zako binafsi kwa Nay,harafu wew himjui Mr T so jus keep quite
Cheki ulivo linafiki, unajifanya mnajimu!