Maprofesa na Wahadhiri wa Vyuo vya Tanzania ni bure kabisa

Maprofesa na Wahadhiri wa Vyuo vya Tanzania ni bure kabisa

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Nilitegemea hawa wasomi wa ngazi za juu kujitokeza hadharani kutoa maoni yao kuhusu hiki kinachoendelea nchini, badala yake wanagugumia chini chini tu.

Sasa ikiwa hawa watu wenye jukumu la kubrush akili za vijana wetu wanakuwa waoga kiasi hiki, vipi hawa wasomi wanaoingia mtaani kama matokeo ya Maprofesa hao?

Taasisi za elimu ya juu zikiogopa, hivi vipi raia wa kawaida ambao mpaka leo wanaogopa hata polisi?

Matokeo yake ndiyo hawa wabunge wanabariki mkataba wa kuikabidhi nchi yao kwa mwekezaji kwa muda usiojulikana.

Ni rasmi sasa; Tanganyika tunajiandaa kuwa nchi isiyo na bandari na Maprofesa wa Siasa na Uchumi mpo tu.

Tuungane kusaini petition kupinga uhuni unaotaka kufanywa na serikali
 
Nilitegemea hawa wasomi wa ngazi za juu kujitokeza hadharani kutoa maoni yao kuhusu hiki kinacho endelea nchini, badala yake wanagugumia chini chini tu.

Sasa ikiwa hawa watu wenye jukumu la kubrush akili za vijana wetu wanakuwa waoga kiasi hiki vipi hawa wasomi wanaoingia mtaani kama matokeo ya maprofesa hao?

Taasisi za elimu ya juu zikiogopa hivi vipi raia wa kawaida ambao mpaka leo wanaogopa hata polisi?

Matokeo yake ndiyo hawa wabunge wanabariki mkataba wa kuikabidhi nchi yao kwa mwekezaji kwa muda usio julikana.

NI RASMI SASA TANGANYIKA TUNAJIANDAA KUWA NCHI ISIYO NA BANDARI NA MAPROFESA WA SIASA NA UCHUMI MPO TU.
Acheni kutukana watu nyie !!

Chachage yuko wapi!!?

Uliwahi msikia huyu mwamba!!?

"SISI TULIAMUA KAMA TAIFA SIASA NDIO IWE KAZI YA THAMANI SANA NA YENYE MALIPO KULIKO TAALUMA YOYOTE"

UNATARAJIA NINI!!?


LIKATIBA NA MFUMO MBOVU NDIO CHANZO CHA HAYA WALA SIO USOMI WA WATU NCHINI!

KUWENJ NA ADABU!!

NASIMAMA NA WASOMI WETU!!

WAFANYE NINI!!?MBELE YA SIASA YA MAAMUZI YA MTU MMOJA!!?
 
Mwenye Orodha ya Professor wa Sheria Tanzania ataweke hapa tafadhali .
 
Nilitegemea hawa wasomi wa ngazi za juu kujitokeza hadharani kutoa maoni yao kuhusu hiki kinacho endelea nchini, badala yake wanagugumia chini chini tu.

Sasa ikiwa hawa watu wenye jukumu la kubrush akili za vijana wetu wanakuwa waoga kiasi hiki vipi hawa wasomi wanaoingia mtaani kama matokeo ya maprofesa hao?

Taasisi za elimu ya juu zikiogopa hivi vipi raia wa kawaida ambao mpaka leo wanaogopa hata polisi?

Matokeo yake ndiyo hawa wabunge wanabariki mkataba wa kuikabidhi nchi yao kwa mwekezaji kwa muda usio julikana.

NI RASMI SASA TANGANYIKA TUNAJIANDAA KUWA NCHI ISIYO NA BANDARI NA MAPROFESA WA SIASA NA UCHUMI MPO TU.
Mkuu mbona wengi tuu wameongea wakiongozwa na kuwakilishwa na Dr. JOSEPH KASHEKU MSUKUMA (MB)
 
Siasa imevuruga kabisa tabaka la wanazuoni nchini. Siku hizi karibia wote wanawaza uteuzi tu, au kwenda kugombea ubunge.
 
Daah Africa kwa ujumla ni bara la giza nakubali kwa asilimia zote
Hivi pata picha wenzetu wazungu katiba yao ipo straight yaani raia watajitokeza hadharani na kukemea uchafu wowote hawezi kuogopa takataka inayoitwa polisi, tena polisi akikufuata atakuja kwa heshima zote na una haki ya kumhoji pia hata Kama ametenda kosa utamsikia anasema,Am I under arrest? I need to talk to my lawyer
Kiukweli sijui tulimkosea nini Mungu mpaka tuwe hivi
 
Nilitegemea hawa wasomi wa ngazi za juu kujitokeza hadharani kutoa maoni yao kuhusu hiki kinacho endelea nchini, badala yake wanagugumia chini chini tu.

Sasa ikiwa hawa watu wenye jukumu la kubrush akili za vijana wetu wanakuwa waoga kiasi hiki vipi hawa wasomi wanaoingia mtaani kama matokeo ya maprofesa hao?

Taasisi za elimu ya juu zikiogopa hivi vipi raia wa kawaida ambao mpaka leo wanaogopa hata polisi?

Matokeo yake ndiyo hawa wabunge wanabariki mkataba wa kuikabidhi nchi yao kwa mwekezaji kwa muda usio julikana.

NI RASMI SASA TANGANYIKA TUNAJIANDAA KUWA NCHI ISIYO NA BANDARI NA MAPROFESA WA SIASA NA UCHUMI MPO TU.
yaani nafasini mwao wanatafakari, yaani nikose hizi privileges na mshahara ule mnono vile bora nikae kimya, kukaa kimya nayo ni busara 😂
 
Mimi nikitegemea masikini ndio wako barabarani Sasa hivi. Sasa mapropesa na madokta wanashida Gani mpk wawe front.
 
Back
Top Bottom