educator2025
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 395
- 455
mmh so unawa support maprof kutumia Kiswahili kama lugha ya kufundisha/kujifunzia?
Imekuwa kasumba na utamaduni unaozidi kuchipuka sasa kukuta maprofesa/walimu wa vyuo vikuu vingi hapa TZ (UDSM, SUA, SAUT, Makumira,TEKU, Muhimbili, ARU etc.) kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia badala ya lugha ya kiingereza kama inavyopaswa na sera ya Elimu ya Taifa (Tanzania Education and Training Policy, TETPO ya mwaka 1995) swali la kujiuliza hiv ni wapi Maprofesa/walimu hawa wanatupeleka? wasomi wetu wataweza kuimudu lugha hii ya kiingereza kweli kama maprofesa tu wanafundishia Kiswahili?TUJADILI
Imekuwa kasumba na utamaduni unaozidi kuchipuka sasa kukuta maprofesa/walimu wa vyuo vikuu vingi hapa TZ (UDSM, SUA, SAUT, Makumira,TEKU, Muhimbili, ARU etc.) kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia badala ya lugha ya kiingereza kama inavyopaswa na sera ya Elimu ya Taifa (Tanzania Education and Training Policy, TETPO ya mwaka 1995) swali la kujiuliza hiv ni wapi Maprofesa/walimu hawa wanatupeleka? wasomi wetu wataweza kuimudu lugha hii ya kiingereza kweli kama maprofesa tu wanafundishia Kiswahili?TUJADILI
mmh so unawa support maprof kutumia Kiswahili kama lugha ya kufundisha/kujifunzia?
Tena hata secondary kuna mahali ni LAZMA kufundisha kwa kiswahilimmh so unawa support maprof kutumia Kiswahili kama lugha ya kufundisha/kujifunzia?
Imekuwa kasumba na utamaduni unaozidi kuchipuka sasa kukuta maprofesa/walimu wa vyuo vikuu vingi hapa TZ (UDSM, SUA, SAUT, Makumira,TEKU, Muhimbili, ARU etc.) kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia badala ya lugha ya kiingereza kama inavyopaswa na sera ya Elimu ya Taifa (Tanzania Education and Training Policy, TETPO ya mwaka 1995) swali la kujiuliza hiv ni wapi Maprofesa/walimu hawa wanatupeleka? wasomi wetu wataweza kuimudu lugha hii ya kiingereza kweli kama maprofesa tu wanafundishia Kiswahili?TUJADILI
Mwenye akili ya kuelewa ataelewa unachokimaanishaTungeendelea kutawaliwa na Ujerumani pengine Tatizo na mjadala kama huu usingekuwepo. Mjerumani alijikita sana katika kukiendeleza Kiswahili. Huenda mambo yote sasa hivi yangekuwa katika Kiswahili. Tatizo, Bahati mbaya kwetu ni pale Uingereza ilipoingia. Ninailaani siku ambayo Uingereza iliingia kuitawala Tanganyika! Walitujengea hulka ya kutojiamini, wakaua Kiswahili na mambo kibao! Ingewezekana kufuta (delete) Historia ningependekeza tufute kuanzia siku Uingereza ilipoanza kuitawala Tanganyika!
Tungeendelea kutawaliwa na Ujerumani pengine Tatizo na mjadala kama huu usingekuwepo. Mjerumani alijikita sana katika kukiendeleza Kiswahili. Huenda mambo yote sasa hivi yangekuwa katika Kiswahili. Tatizo, Bahati mbaya kwetu ni pale Uingereza ilipoingia. Ninailaani siku ambayo Uingereza iliingia kuitawala Tanganyika! Walitujengea hulka ya kutojiamini, wakaua Kiswahili na mambo kibao! Ingewezekana kufuta (delete) Historia ningependekeza tufute kuanzia siku Uingereza ilipoanza kuitawala Tanganyika!