educator2025
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 395
- 455
Imekuwa kasumba na utamaduni unaozidi kuchipuka sasa kukuta maprofesa/walimu wa vyuo vikuu vingi hapa TZ (UDSM, SUA, SAUT, Makumira,TEKU, Muhimbili, ARU etc.) kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia badala ya lugha ya kiingereza kama inavyopaswa na sera ya Elimu ya Taifa (Tanzania Education and Training Policy, TETPO ya mwaka 1995) swali la kujiuliza hiv ni wapi Maprofesa/walimu hawa wanatupeleka? wasomi wetu wataweza kuimudu lugha hii ya kiingereza kweli kama maprofesa tu wanafundishia Kiswahili?TUJADILI