Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

Hata yeye huyo huyo anayejidai kuwachana wenzake akikabidhiwa wizara ni full madudu tu, kazi ya uCAG hata akipewa kingwendu anaiweza tu, kwenda kusoma madudu bungeni nayo ni kazi? Hakuna jitu la ovyo kama hilo Simbiti Kichere nalo leo linaonekana lichapa kazi.Nilikuwa nashangaa namna Magufuli alivyokuwa analibeba mara TRA, mara RAS mara CAG, hili nalijua vyema tangu likiwa ShyCom ni lijitu la ovyo kweli.Hii nchi unafiki na kujipendekeza ni kwingi
 
Thubutu utendaji mbovu unajielewa kweli wewe, alimvua nguo Meko ndio kamfukuza maamae unafikiri alikua anajali kama siku hiyo kameza dawa ama lah Asad alikua anambinua tu tumbaf zake
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,

Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.
 
Hivi prof Assad akiulizwa kisomi tafiti yake na sample zake ametolea wapi atajibu hili swali?
 
Tuendelee kunywa Covidol tuachane na Tiba za mabeberu au nasema uongo ndugu zangu?
images (7).jpeg
 
Bongo ukisikia mtu ana Phd au ni profesa usiamini kuwa ni muelewa. Subiri maongezi yake au vitendo vyake, wengi ni vilaza hadi aibu. Wenye uelewa unaoendana na elimu yao hawazidi asilimia 30
 
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Assad kawachana MATAGA [emoji1][emoji1][emoji1787]

Mnaounga mkono kila kitu nyie Ni wasaka fursa

Kikwete pia aliwachana siku ile msibani ya kwamba nyie Ni waganga njaa tu mko Tayari kusema na kusifia uongo mpate kula yenu .

Shwaiiinii
 
Unajua prof wa ukweli hawezi kusema hivyo..

Dr mwakwembe kule mbeya alizidiwa na darasa la saba , badala ya kujibu hoja , akawa ana lalama tuu mara sijui ana degree 10 etc.. leo yupo wapi.
Umeona Prof Asad kawachana kuw asilimia 60 ya wasomi hawana wanachokijua zaidi ya kusifu na kupiga makofi, Huyu Mzee Mungu amuweka anachana mkeka sana yani, limtu lima ma pHD hata matatu lakini ni la hovyo kuliko polepole, sasa embua ngalia Bashiru huyu eti ndio alikua mwalimu wa Chuo stupide kabisa kama sio stiupidy
 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
Profesa wa wapi?
 
Assad ana hasira hadi anatukana watu ambao hawahusiki wakati yeye ana hasira na meko
Msemo mpya ACQUIRED STUPIDITY.

namimi naongezea awamu ya tano ilitengeza Collective Stupidity.
 
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Unapata tabu kutokea wapi mkuu
Kaongea saa nzima hakutoa neno la tusi Ila ww sekunde kadhaa za kuandika umetukana Nani uchwara?
Kaelikisha na kaongea aliyokuwa akiongea tangu hayati yupo hai
 
Kuna kitu kinaitwa Emotional Inteligence.....ya watu ka hawa ni ndovo muno japo huwa nategemea kuwa level ya elimu iende sambamba na EI....
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
 
Mkuu naomba nikukumbushe definition ya aina ya maneno inayoitwa vivumishi.....kama nguo ni nyeupe na chafu hata kama ni nguo ya baba ...kivumishi kitabaki palepale





 
Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,

Tatizo ni nini wana jamvi?

Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!

Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.

Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.

Kazi iendelee.
kumbe uliachia shule darasa la sita alafu unataka kumuelewa profesa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom