Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

Hata yeye huyo huyo anayejidai kuwachana wenzake akikabidhiwa wizara ni full madudu tu, kazi ya uCAG hata akipewa kingwendu anaiweza tu, kwenda kusoma madudu bungeni nayo ni kazi? Hakuna jitu la ovyo kama hilo Simbiti Kichere nalo leo linaonekana lichapa kazi.Nilikuwa nashangaa namna Magufuli alivyokuwa analibeba mara TRA, mara RAS mara CAG, hili nalijua vyema tangu likiwa ShyCom ni lijitu la ovyo kweli.Hii nchi unafiki na kujipendekeza ni kwingi
 
Thubutu utendaji mbovu unajielewa kweli wewe, alimvua nguo Meko ndio kamfukuza maamae unafikiri alikua anajali kama siku hiyo kameza dawa ama lah Asad alikua anambinua tu tumbaf zake
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,

Kwa level ya uprofesa sidhani kama utashindwa kujua mtu akiaga dunia hawezi kuongea tena, lakini yeye kamkomalia marehemu anaibua hoja ili azijibu , profesa anashindwa kujua kua marehemu hataweza kumjibu. Profesa wa aina gani huyu.
 
Hivi prof Assad akiulizwa kisomi tafiti yake na sample zake ametolea wapi atajibu hili swali?
 
Bongo ukisikia mtu ana Phd au ni profesa usiamini kuwa ni muelewa. Subiri maongezi yake au vitendo vyake, wengi ni vilaza hadi aibu. Wenye uelewa unaoendana na elimu yao hawazidi asilimia 30
 
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Assad kawachana MATAGA [emoji1][emoji1][emoji1787]

Mnaounga mkono kila kitu nyie Ni wasaka fursa

Kikwete pia aliwachana siku ile msibani ya kwamba nyie Ni waganga njaa tu mko Tayari kusema na kusifia uongo mpate kula yenu .

Shwaiiinii
 
Unajua prof wa ukweli hawezi kusema hivyo..

Dr mwakwembe kule mbeya alizidiwa na darasa la saba , badala ya kujibu hoja , akawa ana lalama tuu mara sijui ana degree 10 etc.. leo yupo wapi.
 
Profesa wa wapi?
 
Assad ana hasira hadi anatukana watu ambao hawahusiki wakati yeye ana hasira na meko
Msemo mpya ACQUIRED STUPIDITY.

namimi naongezea awamu ya tano ilitengeza Collective Stupidity.
 
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Unapata tabu kutokea wapi mkuu
Kaongea saa nzima hakutoa neno la tusi Ila ww sekunde kadhaa za kuandika umetukana Nani uchwara?
Kaelikisha na kaongea aliyokuwa akiongea tangu hayati yupo hai
 
Kuna kitu kinaitwa Emotional Inteligence.....ya watu ka hawa ni ndovo muno japo huwa nategemea kuwa level ya elimu iende sambamba na EI....
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
 
Mkuu naomba nikukumbushe definition ya aina ya maneno inayoitwa vivumishi.....kama nguo ni nyeupe na chafu hata kama ni nguo ya baba ...kivumishi kitabaki palepale





 
kumbe uliachia shule darasa la sita alafu unataka kumuelewa profesa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…