Sultani Makenga
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 621
- 1,039
Huyu mzee ananipa kila sababu ya kuwa na mashaka na elimu yake kwamba haijamsaidia,Thubutu utendaji mbovu unajielewa kweli wewe, alimvua nguo Meko ndio kamfukuza maamae unafikiri alikua anajali kama siku hiyo kameza dawa ama lah Asad alikua anambinua tu tumbaf zake
Aseee kwa huyo mzee embu tema mate chini eti,Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Profesa Assad ni mpumbavu tu🤣🤣Umekomkosea sana mzee wa watu.
Assad kawachana MATAGA [emoji1][emoji1][emoji1787]Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Wewe una akili za kimagufuli Magufuli (akili za kutopenda kukosolewa). Pole yako. Dunia inamheshimu Prof Assad, wewe huna hadhi ndiyo maana upo humu kwa ID fake. Na mm naandika comment ya kukuponda. Huna hadhi kabisa. Rubbish!;Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
wewe, wewe, kuwa na adabu.
Umeona Prof Asad kawachana kuw asilimia 60 ya wasomi hawana wanachokijua zaidi ya kusifu na kupiga makofi, Huyu Mzee Mungu amuweka anachana mkeka sana yani, limtu lima ma pHD hata matatu lakini ni la hovyo kuliko polepole, sasa embua ngalia Bashiru huyu eti ndio alikua mwalimu wa Chuo stupide kabisa kama sio stiupidy
Umekomkosea sana mzee wa watu.
Profesa wa wapi?Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.
Msemo mpya ACQUIRED STUPIDITY.
namimi naongezea awamu ya tano ilitengeza Collective Stupidity.
Unapata tabu kutokea wapi mkuuKama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
Ngoja nimalize maji niendelee na madudu ya magu.Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
wewe kwako muhimu uhaiKwangu mimi prof assad ni prof uchwara... hakuna tofauti na Prof maji marefu.
Kama prof uchwara Assad, hata kuhimili hasira zake hawezi, kazi kujitutumua tu.
kumbe uliachia shule darasa la sita alafu unataka kumuelewa profesa [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi,
Tatizo ni nini wana jamvi?
Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la!
Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki hata kwenye jambo ambalo hata mtu alieacha shule darasa la 6 kama mimi analielewa vizuri kabisa, akipewa nafasi ana fanya maamuzi ya hovyo kabisa.
Ni muda mwafaka tujiulize elimu ya juu ina mchango gani kwenye jamii na kwenye taifa kwa ujumla.
Kazi iendelee.