Unataka siasa iachwe kwenye mikono ya wapumbavu ccm ili waitafune nchi wanavyotaka? kila mtu ana haki ya kuingelea siasa maana siasa ni maisha ya binadamu ya kila siku, kama mlishajiona nyie ndo mnatakiwa kujadili siasa peke yenu kwa sababu sio wasomi muda wa huo upambu haupo tena.