Mapromota wa ndondi wananufaikaje

Kerosine Bal

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
247
Reaction score
231
Itifaki imezingatiwa, wazee naomba kuuliza hivi mapromota wa ndondi/ngumi kama MOBOXING wananufaikaje na kuandaa mapambano? Asanteni
 
Ungekuwa unashabikia simba, ningekushauri kwenda kumuuliza promota wetu mpya in town, Dr. Mo. aka Moboxing
 
wanapata faida kupitia wadhamini na mashabiki kwa asilimia ndogo sana. nadhan mchezo wa ngum hauna ushabik sana kwa nchi yetu kwa sababu y dhan iliyojengeka ndan ya vichwa vya watu weng ngum n mchezo wa wauni ... hata hvy kila siku zinavyoenda mashabiki wa ngumi pia wanaend kuongezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…