Mapumziko july 25-mashujaa day

Mapumziko july 25-mashujaa day

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,858
Reaction score
2,059
Ningekua na MAMLAKA ningehamisha MAPUMZIKO KITAIFA kutoka SABASABA (Maonyesho ya Biashara) badala yake Taifa LIPUMZIKE LEO JULY 25 KUWAKUMBUKA MASHUJAA WALIOMWAGA DAMU ZAO KUPIGANIA UHURU WA TAIFA HILI NA HATA KWINGINE. Wengi hawajui kwamba July 25 Kila Mwaka ni SIKUKUU YA MASHUJAA mpaka waone gwaride kwenye TV. Kama tunapumzika kwa sababu ya "biashara" je si zaidi sana kwa "DAMU" za wananchi wenzetu? Ni kwa vile sina mamlaka, ningeshahamisha mapumziko.
 
Kama kupumzika ni muhimu basi KWA MASHUJAA NI MUHIMU ZAIDI ya maonyesho ya biashara.
 
Good idea. Ila kuna mtu atatusikiliza hata tukiweka petition?
 
Kuna siku hizi mbili,,,,,,sabasaba na nanenane sioni kabisa mantiki ya watu kupumzika. Bora hii siku ya mashujaa iwe ni mapumziko kuliko hizo siku.
 
Back
Top Bottom