Mapungufu haya yafanyiwe Kazi ili Simba SC ya Msimu ujao iwe Moto na tusizoeleke kuishia Robo Fainali CAFCL

Namba 2, nimekuelewa ila tutafute kipa namba mbili mzuri tusipende kubet kwenye goal keeping kama kweli tunahitaji kufika mbali
Huyu Ally hafai kuchezea Simba.
 
Unajifanya unachambua makosa ya uanjani na hauna hata taaluma ya mpira ukiambiwa uelezee makosa ya kiufundi unaishia kutoa mihemko halafu unaishia kutoa matusi kama humu JAMII FORUM kunawatu unawainspire basi kichaa kapata vichaa wenzake [emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kweli Kabisa, Jana kocha angeweza kujilipua akawaingiza michomoko Banda , Sakho au Phiri, jamaa wangekosa utulivu kule nyuma.
Kumbuka lakini kuwa unapoingiza mchezaji ni lazima umtoe mchezaji!
 
Hali yakijiona under dog inatuumiza sna team zetu za east africa

Ile game ya wydad ilikua wazi kama wachesaji wangejiamin kama game zengine au km wakicheza kwa mkapa

Na kocha robertinho naona anashindwa kabisa kuusoma mchezo maana angewasoma wydad na akaja na mbinu ya mtu ambae yupo sharp pale mbele kuna mistake walikua wanafanya wydad yale yalitakiwa yawe magoli
 
Namba 3. Simba inatakiwa kusajili wa kimatiaifa 6 yaan beki wa kati m1, wingback wa2, defensive midfielder m1, na winger wa2...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…