Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Nimebaini kuwa wana JF wengi hawajui kujibu hoja. Baadhi hupenda kutumia kejeli, hoja ya nguvu, vitisho na matusi ili 'kuhakikisha kuwa wamesikika'!
Hawajiamini kama wakitumia lugha ya upole au sauti nyepesi hoja yao itafika mahali husika. This is inferiority complex. Nawashauri Mods waandae semina kwa wana JF mada ikiwa ni namna ya kujenga hoja bila ya kutumia lugha kali.
Nadhani hii itasaidia kuimprove diaspra au platform mbali mbali za mada zinazochangiwa humu JF.
Pia natoa wito kwa wana JF tuabidlike. I mean, tujifunze na ku improve... ​
Hawajiamini kama wakitumia lugha ya upole au sauti nyepesi hoja yao itafika mahali husika. This is inferiority complex. Nawashauri Mods waandae semina kwa wana JF mada ikiwa ni namna ya kujenga hoja bila ya kutumia lugha kali.
Nadhani hii itasaidia kuimprove diaspra au platform mbali mbali za mada zinazochangiwa humu JF.
Pia natoa wito kwa wana JF tuabidlike. I mean, tujifunze na ku improve... ​