Mapungufu ni mengi sana kwenye siku ya wananchi, burudani za hovyo na kiingilio kikubwa vyapunguza mashabiki

Pamoja na fungulia mbwa lakinj bado hawakujaa
 
Usilete siasa kwenye starehe, mpira ni starehe na starehe ni gharama.

Kwenye show za muziki watu huwa wanalipia kiingilio kwa meza ya watu 10 shilling million 1.

Usidhani wachezaji wanasajiliwa kwa ruzuku za Chadema au join the chain.
Matola nilikutarajia uje hivi , sikushangai
 
Yan makolo mlitaka max nzengeli siku yake kwanza mmuone kwa elfu 3!
Fungulia mbwa ilikuwa ya nn.

Viingilio lazima viendane na Hali za Watu wako. Hiyo ndiyo akili.

Kuibiwa simu Ni ezembe na uzuzu wako.

Nb:wenye akili utopoloni Ni 2 TU na hawajawahi kuongezeka.
 
Watu wa chadema ndo hapa wanapofeli kila kitu kwao lazima waingizie siasa.

Kuna jamaa yeye anaichukia kabisa rangi ya njano na kijani, unaweza hata kua adui yake namba 1 kama tu ni shabiki wa yanga na kwakujua kua yanga inatumia rangi hizo.

Ni mbwembwe gani hasa ulizokua unazihitaji toka kwa Manala??
Huyo Zembwela na Kitenge wao walikua kwenye kutambulisha wachezaji tuu, show nzima tangu mchana hawakusimamia wao, unasemaje walipwaya??

Msanii gani aliimba matusi?? Msanii gani alitukana, wasanii wengi kama sio wote walikua na nyimbo spesheli kwa ajili ya yanga.

Yanga hawakutaka watu wengi kwenye hilo tamasha mbona ni akili ya kawaida tu kulijua hilo mkuu!! Last time uwanja ulitapika mpaka watu waliuana humo.

Dp world inawatoa akili walah.
 
Mpira ni starehe and always starehe ni gharama kama unaipenda timu yako unashindwa kiuchangia elf 10 then unataka timu isajiri wachezaji wazuri
ZUNGUMZIA Ile fungulia mbwa kidogo lengo lilikua Ni Nini. Wewe unaejua gharama za starehe!

Shirikisho ubongo kabla ya kuandika
 
Fungulia mbwa ilikuwa ya nn.

Viingilio lazima viendane na Hali za Watu wako. Hiyo ndiyo akili.

Kuibiwa simu Ni ezembe na uzuzu wako.

Nb:wenye akili utopoloni Ni 2 TU na hawajawahi kuongezeka.

Juzi tuliadhimisha siku ya mbu3 duniani
 
Yani kuna watu walikua wana sura chachu sana jana
 
Japo wanayanga wengi watakupinga naungana na wewe kwa asilimia zote.
Mawazo uliyoyaibua yana ukweli bila shaka wakifanya tathimini watakubaliana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…