Mapungufu ninayoyaona simba

Mapungufu ninayoyaona simba

Rocco sifredi

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
100
Reaction score
197
Yani huyu mwamba wa zambia budo mutale wakati amefika alijitahidi ila baada ya hapo sasa imekua kila mpira ataopata ni atoe pasi mkaa mbovu au anyang'anywe mpira amekosa kabisa utulivu yani mkiwa uwanjani inakua kama vile anawakaba

Na fadlu naye anampenda sijui anaona kitu gani kwake ambacho wengine hatukioni ana papara zisizo na maana Leo sub yake ilikua ya hovyo kabisa kama ni kupewa muda kashapewa vya kutosha apewe tu thank you kwa maslahi mapana ya timu simba inahitaji wachezaji ambao tayari wapo tayari kutoa impact kwa timu na sio mtu anafika ndo mumpe muda ajipange

kuna wachezaji kama wakina karabaka hata benchi huwaoni ila mutale yumo inafikirisha kwakweli pia kwenye no 10 binafsi naona ahoua bado sana labda tulikua na matarajio makubwa kuliko uwezo wake au bado tunamfanisha na chama mnaosema takwimu zinambeba angalia takwimu zake ni za aina gani utakuta ni fouls penalty na kwenye mechi rahisi mkiwa na mechi ngumu anapotea kabisa hakupi kile ambacho tulitegemea walau

DIRISHA LIPO WAZI ATAFUTWE PLAYMAKER MWINGINE WA KUTOA CHANGAMOTO PIA MUTALE DAH AENDE TU KWAKWELI
 
Mutale ni mchezaji mzuri
Sema hapo umbumbumbuni Huwa Kuna makelele
Coach Fadlu ashaona kitu kwake
5imba jifunze Kwa Yanga
Kipindi anafika Aziz ki tulimvumilia sana msimu uliofuata akawa top scorer
Dube mechi zaidi ya 10 hafungi ila Sasa kila mechi anatupia
 
Mutale ni mchezaji mzuri
Sema hapo umbumbumbuni Huwa Kuna makelele
Coach Fadlu ashaona kitu kwake
5imba jifunze Kwa Yanga
Kipindi anafika Aziz ki tulimvulia sana msimu uliofuata akawa top scorer
Dube mechi zaidi ya 10 hafungi ila Sasa kila mechi anatupia
Kitu gani hicho ambacho hakipo kwa karabaka Aziz ki msimu aliokuja walau alikuwepo fei ambaye alikua anatimiza majukumu yake vizuri ko timu ilikua inabalance

Simba sio sehemu ya majaribio
 
Ahoua ni chezaji hatari sana hasa kwa kupiga penati na faulo aendelee kuwepo hapo umbumbumbuni bila kupewa thank you kwa misimu mingine mitano..
Maumivu yakikuzidia chomoa mwiko nyuma zezeta la utopolokwinyo
 
1000316377.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Aunt nyenye unapenda hogo wewe sasa hapa ndio kwa bigwa wa kupiga hogo ntakupiga hogo mpaka ushindwe kucheka
Sasa wewe shoga unaleta habari za hogo au unataka nikujaze mimba binti mrembo
 
Mutale ni mchezaji mzuri
Sema hapo umbumbumbuni Huwa Kuna makelele
Coach Fadlu ashaona kitu kwake
5imba jifunze Kwa Yanga
Kipindi anafika Aziz ki tulimvulia sana msimu uliofuata akawa top scorer
Dube mechi zaidi ya 10 hafungi ila Sasa kila mechi anatupia
Na msimu huu hovyo kabisa..Huo ujinga wafundisheni matawi yenu Dodoma Jiji,Singida black stars sio simba
 
Utopolo Safari hii hatutaingia Mkenge Kwa Maneno Yenu..!

Ilikuwa bado Kidogo tu Kibu apotee Kwenye ramani kama Sio Mzee Robertinyo kukataa kusikiliza Maneno ya Kumponda Kibu.!

Sasa Mutale ni Mali, Muda Utaongea..!

Mukwala ashawafunga midomo, maana naye' alikuwa mshaanza kuchonga
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Acheni kumuandama Mutale.

Mutale hana ubovu huu ambao mnamsema.

Mutale ametoka kwenye majereha mpaka timu ya Taifa ilimrudisha kwasababu hakuwa fit.

Najua ndio kuna mistakes anafanya kiwanjani ila sio kama zinavyoimbwa huku mtandaoni.

Wakati anaopitia Mutale haufiki hata robo ya mateso aliyopitia Mpumelelo.

Itakuwa ni ujinga na maamuzi ya kimhemko kuhamaisha mchezaji atimuliwe based on tiny mistakes.
 
Acheni kumuandama Mutale.

Mutale hana ubovu huu ambao mnamsema.

Mutale ametoka kwenye majereha mpaka timu ya Taifa ilimrudisha kwasababu hakuwa fit.

Najua ndio kuna mistakes anafanya kiwanjani ila sio kama zinavyoimbwa huku mtandaoni.

Wakati anaopitia Mutale haufiki hata robo ya mateso aliyopitia Mpumelelo.

Itakuwa ni ujinga na maamuzi ya kimhemko kuhamaisha mchezaji atimuliwe based on tiny mistakes.
Mutale hana rekodi zozote za maana zinazo mbeba hata alipo kuwa huko kwao zambia, na nilishangaa ni kipi kiliwavutia viongozi wa Simba mpaka waka msajili.
Kukaa na mchezaji wa kigeni anaye lipwa mshahara mkubwa kama Mutale hali yakuwa ameshindwa kuleta impact yeyote kwa timu ndani ya mechi zaidi ya 8 ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Mpanzu ana muda mrefu bila kucheza na amecheza mechi bili tu tena kwa dakika chache lakini faida yake imeonekana jana bila ubora wa goli kipa angefunga magoli si chini ya mawili.

Kukaa hapa na kusubiria eti mutale atakuja abadilike utakuwa unajichanganya kwa sababu huo ndo uhalisia wa kiwango chake. Kuliko kumleta mutale bora mara 100 tungebaki na Saido alikuwa na impact uwanjani kuliko huyo mutale.
 
Mutale hana rekodi zozote za maana zinazo mbeba hata alipo kuwa huko kwao zambia, na nilishangaa ni kipi kiliwavutia viongozi wa Simba mpaka waka msajili.
Kukaa na mchezaji wa kigeni anaye lipwa mshahara mkubwa kama Mutale hali yakuwa ameshindwa kuleta impact yeyote kwa timu ndani ya mechi zaidi ya 8 ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Mpanzu ana muda mrefu bila kucheza na amecheza mechi bili tu tena kwa dakika chache lakini faida yake imeonekana jana bila ubora wa goli kipa angefunga magoli si chini ya mawili.

Kukaa hapa na kusubiria eti mutale atakuja abadilike utakuwa unajichanganya kwa sababu huo ndo uhalisia wa kiwango chake. Kuliko kumleta mutale bora mara 100 tungebaki na Saido alikuwa na impact uwanjani kuliko huyo mutale.
Hujui mpira
Mutale ni mchezaji mzuri mno
Nadhani hapo umbumbumbuni anakosa confidence tu
 
Yani huyu mwamba wa zambia budo mutale wakati amefika alijitahidi ila baada ya hapo sasa imekua kila mpira ataopata ni atoe pasi mkaa mbovu au anyang'anywe mpira amekosa kabisa utulivu yani mkiwa uwanjani inakua kama vile anawakaba

Na fadlu naye anampenda sijui anaona kitu gani kwake ambacho wengine hatukioni ana papara zisizo na maana Leo sub yake ilikua ya hovyo kabisa kama ni kupewa muda kashapewa vya kutosha apewe tu thank you kwa maslahi mapana ya timu simba inahitaji wachezaji ambao tayari wapo tayari kutoa impact kwa timu na sio mtu anafika ndo mumpe muda ajipange

kuna wachezaji kama wakina karabaka hata benchi huwaoni ila mutale yumo inafikirisha kwakweli pia kwenye no 10 binafsi naona ahoua bado sana labda tulikua na matarajio makubwa kuliko uwezo wake au bado tunamfanisha na chama mnaosema takwimu zinambeba angalia takwimu zake ni za aina gani utakuta ni fouls penalty na kwenye mechi rahisi mkiwa na mechi ngumu anapotea kabisa hakupi kile ambacho tulitegemea walau

DIRISHA LIPO WAZI ATAFUTWE PLAYMAKER MWINGINE WA KUTOA CHANGAMOTO PIA MUTALE DAH AENDE TU KWAKWELI
Mutale mzuri, saikolojikali tu nadhani hayupo sawa
 
Back
Top Bottom