Mapungufu ya Dini za Wakoloni

Mapungufu ya Dini za Wakoloni

Ndio jibu hapo nimekupa juu, Mwenyez Mungu anajua outcome ya ulichochagua, mwenye will ya kuchagua ni wewe, you have trilions of choice na outcome za Choice zote Mwenyez Mungu anazijua.
Ok naona kama unakwepa swali kimtindo.

labda twende kwa mfano huu: ninawazo la kwenda kuzini. Hivyo nina two choices Either nisiende kuzini au niende.

Je mungu ambaye umesema amenipa Freewill je kabla sijachagua lolote kati ya hivyo viwili je anajua nitachagua nini?
 
Bado Kuna utata, k
Katika muktadha wa imani za kidini kama vile Ukristo, kuna mitazamo tofauti kuhusu jinsi ujuzi wa Mungu na uhuru wa mwanadamu vinavyounganika. Moja ya mtazamo huo unaoitwa "uzushi" (compatibilism) unaamini kwamba ujuzi wa Mungu na uhuru wa mwanadamu hauingiliani. Kwa mujibu wa mtazamo huu, Mungu anaweza kujua kabla chaguzi na maamuzi yetu, lakini hiyo haimaanishi kwamba uhuru wetu wa kuchagua unakosekana. Mungu anajua chaguzi zetu kwa sababu yeye ni mwenye hekima na anaweza kutabiri mambo, lakini bado tunayo uhuru wa kufanya maamuzi yetu wenyewe.

Kwa upande mwingine, kuna mitazamo mingine inayoitwa "determinism" inayoamini kwamba uhuru wa mwanadamu ni uwongo na kwamba kila kitu kinachotokea kimeamuliwa kabla na nguvu ya juu (kama vile Mungu). Kulingana na mtazamo huu, ingawa tunaweza kuona kwamba tunafanya maamuzi, hatujachagua kweli, na kwamba chaguzi zetu zimekuwa zimeamuliwa tangu mwanzo.

Kila mtu anaweza kuwa na maoni yake wenyewe yanayotokana na imani, utamaduni, na mtazamo wake wa kibinafsi.
Kama mungu anajua chaguzi zetu hata kabla hatujachagua. Huu sio uhuru tena.

Yeye anakuwa kama vile ameandaa Igizo, na amepanga characters na Kila characters anafahamu ataplay role ipi, na ili Igizo liende vizuri characters hawawezi kucheza kinyume na Matakwa ya mtengeneza Igizo, maanake Characters hawana uhuru wa kuigiza tofauti na Igizo lilivyo. Sasa kwa mfano huo hiyo free will inawezekanaje?
 
Kujua kila kitu maana yake ni kujua kila kitu. Yaani kila kitu kuhusu maisha yako labda kuna siku utagombana na mtu flani, utaachwa na mkeo nk

Sasa maana yake ni kwamba hadi machaguzi yako anayajua. Hivyo hamna 'chaguzi huru'
Mkuu ukishasoma software ama games zinakuwa developed vipi ni rahisi kung'amua hili.

Mfano Mimi natengeneza game kwenye game nimeweka jangwa halafu Kuna njia mbili, ukienda kushoto Kuna shimo unavunjika mguu, ukienda kulia Kuna mti una kivuli na kisima Cha maji, so najua outcome Yako ni kutulia kwenye kivuli ama kuvunjika mguu, wewe utafanya choice ya unachotaka Sasa,

Fikiria mfano huo ila kwa Trilion of trilions of possibilities.

Ndio maana mwenyez Mungu akakuekea variables ambazo zinakusaidia kuchagua njia nzuri kama vile kusoma Dua, kusaidia wenzako, kuwatendea wema wazazi etc.
 
Mkuu ukishasoma software ama games zinakuwa developed vipi ni rahisi kung'amua hili.

Mfano Mimi natengeneza game kwenye game nimeweka jangwa halafu Kuna njia mbili, ukienda kushoto Kuna shimo unavunjika mguu, ukienda kulia Kuna mti una kivuli na kisima Cha maji, so najua outcome Yako ni kutulia kwenye kivuli ama kuvunjika mguu, wewe utafanya choice ya unachotaka Sasa,

Fikiria mfano huo ila kwa Trilion of trilions of possibilities.

Ndio maana mwenyez Mungu akakuekea variables ambazo zinakusaidia kuchagua njia nzuri kama vile kusoma Dua, kusaidia wenzako, kuwatendea wema wazazi etc.
Anajua hakisii. Maisha yako yote anayajua kama movie. Exactly how it plays out.
 
Mkuu ukishasoma software ama games zinakuwa developed vipi ni rahisi kung'amua hili.

Mfano Mimi natengeneza game kwenye game nimeweka jangwa halafu Kuna njia mbili, ukienda kushoto Kuna shimo unavunjika mguu, ukienda kulia Kuna mti una kivuli na kisima Cha maji, so najua outcome Yako ni kutulia kwenye kivuli ama kuvunjika mguu, wewe utafanya choice ya unachotaka Sasa,

Fikiria mfano huo ila kwa Trilion of trilions of possibilities.

Ndio maana mwenyez Mungu akakuekea variables ambazo zinakusaidia kuchagua njia nzuri kama vile kusoma Dua, kusaidia wenzako, kuwatendea wema wazazi etc.
Mkuu ukishasoma software ama games zinakuwa developed vipi ni rahisi kung'amua hili.

Mfano Mimi natengeneza game kwenye game nimeweka jangwa halafu Kuna njia mbili, ukienda kushoto Kuna shimo unavunjika mguu, ukienda kulia Kuna mti una kivuli na kisima Cha maji, so najua outcome Yako ni kutulia kwenye kivuli ama kuvunjika mguu, wewe utafanya choice ya unachotaka Sasa,

Fikiria mfano huo ila kwa Trilion of trilions of possibilities.

Ndio maana mwenyez Mungu akakuekea variables ambazo zinakusaidia kuchagua njia nzuri kama vile kusoma Dua, kusaidia wenzako, kuwatendea wema wazazi etc.
Mungu anjua maisha yako kabla hata hujazaliwa, maana yake ana mpango mzima wa maisha yako ameu set. Sasa swali je unaweza kubadili mpango wa mungu kuhusu maisha yako? Kama unaweza je huyo Mungu anafahamu kama utabadili mpango wake? Kama anafahamu maanake hujabadili chochote maana alikuwa anafahamu before.
 
Ok naona kama unakwepa swali kimtindo.

labda twende kwa mfano huu: ninawazo la kwenda kuzini. Hivyo nina two choices Either nisiende kuzini au niende.

Je mungu ambaye umesema amenipa Freewill je kabla sijachagua lolote kati ya hivyo viwili je anajua nitachagua nini?
Anajua utachagua nini, ila unaweza usichague ulichoandikiwa kuchagua na ukachagua unachotaka wewe kwa Rehma zake.
 
Anajua utachagua nini, ila unaweza usichague ulichoandikiwa kuchagua na ukachagua unachotaka wewe kwa Rehma zake.
Uhuru wa Kuchagua kwa ninavyoelewa ni uwezo wa Kuchagua pasipo kuingiliwa, maanake Mimi ndio najua nitakacho chagua, sasa kama mungu tayali anajua nitakachochagua, maanake alishalipanga before kuwa nichague lipi. Sasa kama alishanipamgia huo uhuru unao usema mbona siuelewi.?
 
Hata kama Mungu anajua chaguzi ambazo tutafanya, hii haimaanishi kwamba ameamua chaguzi hizo kwa niaba yetu
Yeye si ndo muweza wa yote?

Si tunaamini kila kitu kwenye maisha yetu yeye ndo anasimamia?

Basi yeye ndo ameamua.
 
Anajua hakisii. Maisha yako yote anayajua kama movie. Exactly how it plays out.
Hio ni starting point, ukirudi Tena vile vile kwenye game Kila mtu ana starting point yake, ila mwenyez Mungu ameweka options ambazo zinaweza badili kile Alichoandika,

Mfano
It was narrated that Anas ibn Maalik (may Allah be pleased with him) said: I heard the Messenger of Allah (blessings and peace of Allah be upon him) say: “Whoever would like his rizq (provision) to be increased and his life to be extended, should uphold the ties of kinship.” Narrated by al-Bukhaari (2067) and Muslim (2557).

Maelezo ya Hadith
Al-Bayhaqi (may Allah have mercy on him) said:

What this means is that Allah, may He be glorified, has written what will befall a person of calamity, deprivation, death and so on, and that if he calls upon Allah, may He be exalted, and obeys Him by upholding ties of kinship and the like, this calamity will not befall him, and Allah will give him abundant provision and grant him a long life. And He wrote in al-Lawh al-Mahfooz what will happen in either case. End quote.

So hapo kwenye qadar both options zimeandikwa nani atachagua hizo options ni wewe.

So inawezekana wewe umeandikiwa janga Fulani but it's possible kuliondoa hilo janga ukimuomba mwenyez Mungu.
 
Uhuru wa Kuchagua kwa ninavyoelewa ni uwezo wa Kuchagua pasipo kuingiliwa, maanake Mimi ndio najua nitakacho chagua, sasa kama mungu tayali anajua nitakachochagua, maanake alishalipanga before kuwa nichague lipi. Sasa kama alishanipamgia huo uhuru unao usema mbona siuelewi.?
Je akikupa option ya kupangua ulichopangiwa sio free will?
 
Hajakupangia la kuchagua.

Ni sawa kumuonyesha mtoto wako pipi na andazi, halafu yeye akachagua pipi akaacha andazi. Je hapo ni wewe utakuwa umemuamulia achague pipi? Kama ulitaka achague pipi, andazi ulimuonyesha kwa lengo gani?
Chukulia huo mfano wako kama ulivyo uhamishie kwa mungu.
Haya mungu ananipa andazi na pipi nichague kimojawapo, Je anafahamu nitachagua kipi?
 
Hio ni starting point, ukirudi Tena vile vile kwenye game Kila mtu ana starting point yake, ila mwenyez Mungu ameweka options ambazo zinaweza badili kile Alichoandika,

Mfano
It was narrated that Anas ibn Maalik (may Allah be pleased with him) said: I heard the Messenger of Allah (blessings and peace of Allah be upon him) say: “Whoever would like his rizq (provision) to be increased and his life to be extended, should uphold the ties of kinship.” Narrated by al-Bukhaari (2067) and Muslim (2557).

Maelezo ya Hadith
Al-Bayhaqi (may Allah have mercy on him) said:

What this means is that Allah, may He be glorified, has written what will befall a person of calamity, deprivation, death and so on, and that if he calls upon Allah, may He be exalted, and obeys Him by upholding ties of kinship and the like, this calamity will not befall him, and Allah will give him abundant provision and grant him a long life. And He wrote in al-Lawh al-Mahfooz what will happen in either case. End quote.

So hapo kwenye qadar both options zimeandikwa nani atachagua hizo options ni wewe.

So inawezekana wewe umeandikiwa janga Fulani but it's possible kuliondoa hilo janga ukimuomba mwenyez Mungu.
labda Allah sio Yahweh

Kabla ya kuacha imani nilikua mkristo kwahiyo namjua Yahweh
 
Kama yeye ndie ameamua kwa nini watu wote ulimwenguni wasiwe na maamuzi ya aina moja?
ndo hapo inakuja ile 'mipango yake haichunguziki'

Ila kwa mtazamo wangu wa kiatheist; he is a sadistic manipulator, sijui inasemwaje kwa kiswahili
 
Hajakupangia la kuchagua.

Ni sawa kumuonyesha mtoto wako pipi na andazi, halafu yeye akachagua pipi akaacha andazi. Je hapo ni wewe utakuwa umemuamulia achague pipi? Kama ulitaka achague pipi, andazi ulimuonyesha kwa lengo gani?
Hapo yeye ndiye atakuwa amemua, na kama ningekuwa najua kwa asilimia 100 kuwa atachagua pipi nisingemuwekea chaguzi, ningempatia pipi direct.
 
Kama una mtazamo wa kiatheisti na unaamini kwamba Mungu hayupo au kwamba Yeye ni mkali na mwenye kudhibiti, unaweza kutafsiri hilo kwa kusema "Yeye ni mtesaji wa kikatili na mwenye kudhibiti." Hii inaonyesha kwamba unaamini Mungu anatumia udhibiti na mateso kwa watu.

(Sadistic manipulator =Yeye ni mtesaji wa kikatili na mwenye kudhibiti.)

Ni muhimu kuzingatia kwamba maneno hayo yanaweza kuwa na athari mbaya kwa watu, Ni muhimu kuheshimu tofauti za maoni na kuwa na majadiliano yenye heshima na wengine ambao wanaweza kuwa na mitazamo tofauti.
Ila we jamaa

nimetumia uhuru wangu, nijuavyo mimi mungu ni mtesaji mwenye kuthibiti, ukiniomba sababu nakupa

kwanini nijali watu watawazaje?

kutokuabudu si uhuru wangu?
 
Back
Top Bottom