Mapungufu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Mapungufu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

digodigo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
311
Reaction score
254
Nadhani wote tunakumbuka tulishirikishwa kutoa maoni ili yaingizwe kwenye dira hii, lakini cha kushangaza baadhi ya maoni hayakuzingatiwa na kuwekwa ikiwa na maana aidha yalikuwa hayana maana sasa ninachouliza kwa wenye uelewa ni utaratibu gani ufanyike ili malalamiko yawafikie walengwa au ndio basi tena
 

Attachments

Nadhani wote tunakumbuka tulishirikishwa kutoa maoni ili yaingizwe kwenye dira hii, lakini cha kushangaza baadhi ya maoni hayakuzingatiwa na kuwekwa ikiwa na maana aidha yalikuwa hayana maana sasa ninachouliza kwa wenye uelewa ni utaratibu gani ufanyike ili malalamiko yawafikie walengwa au ndio basi tena

Mkuu tupe mfano wa mojawapo ya maoni ambayo pengine hayakuzingatiwa.
 
Mkuu tupe mfano wa mojawapo ya maoni ambayo pengine hayakuzingatiwa.
Sijui kama umeweza kuipitia dira yote lakini kuna mengi hayajazungumzwa mfano mmoja tu ni kuhusu wazee ambao walikuwa ni nguzo kuu ya maendeleo tuliyo nayo na hata nchi nyingi ambazo zinaendelea zimekuwa na mipango mahususi kuhusu hawa
 
Back
Top Bottom