Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Wasalaam,
Wanamichezo,wadau na wapenzi wote wa soka.
Moja kwa moja bila kupindisha ni kwamba,mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu,
Huku baadhi ya wakazi wa Mwanza na Tanzania nzima kwa wale wapenda michezo wakisimamisha shughuli zao kwa muda,
Hatimaye mbabe kapatikana,simuiti mshindi kwasababu ushindi una tafsiri nyingi,
Namuita mbabe kwasababu Yanga na Simba kwa Sasa zote ni mbovu ila kinachofanyika ni kuwahiana tu,
Hebu fikiria,namna Yanga alivyotoa sare nyingi kiboya,yaani kilichotubeba ni idara ya ulinzi tu ikingozwa na golikipa mahiri Diarra ambaye Sina tatizo naye
So nilichokiona Leo kwenye timu yangu ya Yanga hakijaniridhisha hata kidogo wachezaji hawatulii,Wana papara forward inababaika tu,
Tumeshindwa kuifunga Simba ambayo kiungo hakijulikani,wachezaji laini laini wanagawanyika huku wakiruhusu njia za kupita.
Yaani Simba Kila akitaka kupaki basi,Yanga nayo inarudi nyuma
Timu zote zinategemea counter attack,
Kwa mwendo huu,kimataifa itakuwa ngumu sana.
Yote kwa yote hongereni Yanga kwa ushindi huku mkiwa macho kuwasubiri wagumu Azam kwenye final,japo na coast union nao si wa wabaya.
Wanamichezo,wadau na wapenzi wote wa soka.
Moja kwa moja bila kupindisha ni kwamba,mechi iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu,
Huku baadhi ya wakazi wa Mwanza na Tanzania nzima kwa wale wapenda michezo wakisimamisha shughuli zao kwa muda,
Hatimaye mbabe kapatikana,simuiti mshindi kwasababu ushindi una tafsiri nyingi,
Namuita mbabe kwasababu Yanga na Simba kwa Sasa zote ni mbovu ila kinachofanyika ni kuwahiana tu,
Hebu fikiria,namna Yanga alivyotoa sare nyingi kiboya,yaani kilichotubeba ni idara ya ulinzi tu ikingozwa na golikipa mahiri Diarra ambaye Sina tatizo naye
So nilichokiona Leo kwenye timu yangu ya Yanga hakijaniridhisha hata kidogo wachezaji hawatulii,Wana papara forward inababaika tu,
Tumeshindwa kuifunga Simba ambayo kiungo hakijulikani,wachezaji laini laini wanagawanyika huku wakiruhusu njia za kupita.
Yaani Simba Kila akitaka kupaki basi,Yanga nayo inarudi nyuma
Timu zote zinategemea counter attack,
Kwa mwendo huu,kimataifa itakuwa ngumu sana.
Yote kwa yote hongereni Yanga kwa ushindi huku mkiwa macho kuwasubiri wagumu Azam kwenye final,japo na coast union nao si wa wabaya.