Msimu huu ktk mechi 4 walizokutana
YANGA kashinda 2
Simba hajafunga hata goli la offside
Mafanikio pekee kwa simba ni kumzuia Mayele asiteteme ×3 ktk derby
Makambo ktk mechi 2 za mwisho na ya leo kaonyesha ana vitu vya kutupa kama tukimpa muda wa dk zisizopungua 45
Diarra heshima anayoipa Yanga ni kubwa
Beki za Yanga zimetulia sana hakuna mashaka...
Ukiniuliza kuhusu Simba,jibu langu ni fupi tu "simba ilifika ktk kilele cha ubora, sasa kikos nimechoka kimeisha makali, kinatakiwa transformation kubwa kuanzia mabeki, viungo na washambuliaji" lazima wakubali kupoteza msimu mmoja zaid kama Yanga ili waweze kusuka kikosi...