Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
- Thread starter
-
- #61
Mkuu, umeonesha udhaifu mkubwa katika uandishi wako!
Na hii inaonesha umejisajili Jana tarehe 12/06 kwa sababu yakuja kuonesha/kutoa hisia zako kwa Judith Wambura!
Ungeandika na ya upande wa pili wa "Hamis Mwinjuma" ili nasi tuyajue kuona jamaa ni msafi kiasi gani hata ukatokwa na povu namna hiyo!
Mwisho naomba lete na ya upande wa pili wa "Swahiba" yako ili tuendelee kuchangia.
Usijali,ukitaka ya Mwana Fa pia nitaweka hapa,nimeweka ya jaydee kwa kuwa ndo kaanza,na Mwana Fa katulia mpaka saiv,hii ni dalili ya kuwa kamdharau jaydee kwa Kumuita MwanaFatuma.Sina chuki na jadee maana hata kwao musoma nilishafika kipindi cha nyuma.hii ilitokana na mm kuwa mpenzi wam uziki wake.Lakini katika hili sijafurahi kabisa,angejickiaje angeitwa Jike-dume??,ama kijeba,ama jina lolote ambalo ni chafu kama kumwita mwaume MwanaFatuma ama Mwanahamis??
Tusione aibu kumwambia mtu ukweli anapokosea!!,sifa za kijinga huwa sio nzuri kabisa.maana hata waliomsifia Dudubaya akati anampiga mr nice leo wanaandika humu kuwa anauz amkaa magu.