Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
- Thread starter
-
- #141
Free ideas hawa VIJANA bhana ni binadam na kugombana ni kawaida tuwaache wafanye yao,na nadhan ww ni mfatiliaj wa muziki,JIDE ALIKUA KWA RUGE,MwanaFA mabaye jide anamwita MwanaFAtuma Ashashirikiana na JIDE kwenye ngoma kibao,sasa je kama wameamua ku-cook me na wewe hatujui,tuwaache tuendelee na yetu tukiwapuuza basi tutawapa nafas nao kutotushughulisha
hehehhe hili swali nimemliza Free ideas kanambia yupo aburodi jaman ila kamisi nyumbani
Unafurahisha wewe unajifanya uko nje, unaona ujiko wakati unabeba mabox tu na maisha magumu. Harafu unajiona unakazi kuliko wengine nani kakwambia sina kazi? Jamaa amekutrace ameona unatumia ip address ya bongo nimemwomba akutrace zaidi ili tujue uongo wako. Hukanushi na kujibu hoja kuhusu ip adress unaanza kusema wewe ndo unaweza kunifuatilia do it, nikuone utanifanyaje. Angalia nisikuwowe teh teh
masuke kamaliza...ila mwanaume kumsanukia demu hivyo sana nin noma...nshajua kwa nini anajiita commando...maaana kama kuna midume inamsanukia hivyo mpaka kuanzisha ids kwa ajili yake na bado anawakalisha kweli yeye COMMANDO
Sio kazima niandike nilipo,humu tuko huru,na ndo mana Watu hatutumii majina ya kwel, nikiandika nilipo haita kusaidia cha.msingi pinga ama teta mada kwa hoja,kutokuwa kwangu tz ama kuwa tz sio swala la.msingi ila inatakiwa ujue siko huko.
... We kibonzo elimu yako ni ya ki2mwa. Unatambua wazi kuwa mwana fa kaporora ndiyo maana ana2mika kukandamiza wenzake.
Sijawahi kufika moro zaidi ya kupitaMKuu sakasaka ulisoma MOROGORO?
Sio kazima niandike nilipo,humu tuko huru,na ndo mana Watu hatutumii majina ya kwel, nikiandika nilipo haita kusaidia cha.msingi pinga ama teta mada kwa hoja,kutokuwa kwangu tz ama kuwa tz sio swala la.msingi ila inatakiwa ujue siko huko.
Ndio sema zamani kidogoMKuu sakasaka ulisoma MOROGORO?
Broh kajipange tena alafu ndio ujee...mm nimechangia mada kwa kukosoa uwongo wako uliodanganya....naona ushapanik...samahan lakini.
jide natabia za kiswahili,mimi sioni mantiki yeye kukaa kwenye social media kuana kuandika upumbavu,anataka kila mtu ampe yeye attention wakati kuna wasanii kibao wanaofanya vizurifor sure anajidhalilisha na kuonyesha udhaifu wake pamoja na inferiority zake
We mleta mada nahs unaujizito wa kufikiri,wewe na jide nani anamjua mwanafa vizuri au unafikiri alikurupuka,kama alikurupuka mbona hakumuita mara ya kwanza,wakati walipopangakufanya show tarehe 31 may,pengne labda alijuwa ni coincidence tu,lakini mara ya pili pia fatuma kasubiria mpk jide atangaze na yeye ndio atangaze tare 14 hapo hata mimi uvumilivu ungenishnda,with all due respect hapa mwana fa kachemka na masters yake,
Huyu ruge sjui anawapa nini? Mnatetea ujinga tuu. Halafu tuhuma za kuwa pale kuna mashoga wengi inawezekana zina ukweli mbona hawakanushi? Silence means?