Free ideas
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 3,497
- 2,026
- Thread starter
- #141
Free ideas hawa VIJANA bhana ni binadam na kugombana ni kawaida tuwaache wafanye yao,na nadhan ww ni mfatiliaj wa muziki,JIDE ALIKUA KWA RUGE,MwanaFA mabaye jide anamwita MwanaFAtuma Ashashirikiana na JIDE kwenye ngoma kibao,sasa je kama wameamua ku-cook me na wewe hatujui,tuwaache tuendelee na yetu tukiwapuuza basi tutawapa nafas nao kutotushughulisha
Sawa sawa,kidogo umeonesha ukomavu hapa
Last edited by a moderator: