Ila kwa kweli jd amekosea kumwita Mwanafa jina la kike, si bora hata angesema kibaraka tu!!! Halafu mimi nachukia mabeef ya kijinga, sasa kama hapa mwanafa nampenda ile mbaya infact hez my fav bongo flav male artist na jide ni my fav bongo flav female artist! Hata sijuwi mnatuweka wp mashabiki wenu. Ila kwa kweli mm naona jd huna washauri au hushauriki! Hukupaswa haya mambo kuyaweka mitandaoni! Kama vipi weka kwenye mistari shusha ngoma, atakaejigusa limempata! Ikishindikana wape makavu live. Lakini hii aarrrggg!!