Mapungufu ya Taarifa ya Utendaji wa siku 78 za Rais Samia Ikulu

Kwani sheria si imekuwepo siku zote mbona wafanyabishara hawakua wanafuata hiyo sheria?

Sheria kuwepo na sheria kufuatwa ni vitu 2 tofauti.

Hao mnaoenda kuwaomba misaada huko Ulaya hawabembelezani pamoja na kua sheria ipo lakini hakuna mfanyabiashara anaetaka kulipa kodi kwa utaratibu, hakuna.

Sasa nyie wabembelezeni mtavuna mabua.

Magufuli kwenye kodi,naungana nae 100%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…