Tatizo la viongozi hawa Mama zetu ni kwamba wanaogopana wenyewe kuliko kuogopa viongozi wanaume. Tuone tu mfano wa huyu Mama
Viongozi wote wanawake ambao yeye mwenyewe ndiye alikuwa anataka kuwa kama wenyewe ndiye wa kwanza kuwaogopa.
Akiona wanapata sifa zaidi yake Mama Samia amekimbilia kuwatoa badala ya kujifunza. Viongozi wanawake wanaondolewa kwa mambo binafsi zaidi wakati viongozi wanaume wanaondolewa kwa ufanisi na utendaji wa kazi.
Lakini ukiangalia kwa undani viongozi wanawake wana akili , sio wala rushwa na ni wafanyakazi wazuri kuliko hao waliopo.
Lakini unaweza tu ukavaa vizuri kuliko malkia wetu ukafukuzwa. Umi alisema tunahitaji zumbe kwenye uongozi ambayo maana yake ni Machief kwa kisambaa leo kafukuzwa.
Mama Mulamula alipendwa na Marekani leo kafukuzwa. yaani ni ujinga ujinga. Wengine wanaogopwa kwasababu wana akili sana kama huyo Mama wa kipare aliye kuwepo UN
Viongozi wote wanawake ambao yeye mwenyewe ndiye alikuwa anataka kuwa kama wenyewe ndiye wa kwanza kuwaogopa.
Akiona wanapata sifa zaidi yake Mama Samia amekimbilia kuwatoa badala ya kujifunza. Viongozi wanawake wanaondolewa kwa mambo binafsi zaidi wakati viongozi wanaume wanaondolewa kwa ufanisi na utendaji wa kazi.
Lakini ukiangalia kwa undani viongozi wanawake wana akili , sio wala rushwa na ni wafanyakazi wazuri kuliko hao waliopo.
Lakini unaweza tu ukavaa vizuri kuliko malkia wetu ukafukuzwa. Umi alisema tunahitaji zumbe kwenye uongozi ambayo maana yake ni Machief kwa kisambaa leo kafukuzwa.
Mama Mulamula alipendwa na Marekani leo kafukuzwa. yaani ni ujinga ujinga. Wengine wanaogopwa kwasababu wana akili sana kama huyo Mama wa kipare aliye kuwepo UN