Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Umefungwa aisee.! Yule jamaa alichafua hali ya hewa, ametukost wote.

Mkuu ile story iliyochafua hali ya hewa ilikuwa ya kweli au uzushi tu?
 

Semeni nyie. Mi napiga MUTE.
 
Mkuu ile story iliyochafua hali ya hewa ilikuwa ya kweli au uzushi tu?

Kweli TUPU.
Tuachane nayo tu, maana jamaa anamaumivu mengi, kapigwa kifungo, mambo yake ndo hadharani.. Dah! Noma sana.
 
Wimbo una maudhui mengi aikua lazima aoneshe yote
Kaonesha maudhui ya dance inatosha

Alafu muziki n hica kama mtu ajui kiswahili ajui tu

Binafs naangalia nyimbo za kina big Sean ,jay zee n.k ckijui kingreza na video zao awaoneshi kilichoimbwa
 
Wimbo una maudhui mengi aikua lazima aoneshe yote
Kaonesha maudhui ya dance inatosha

Alafu muziki n hica kama mtu ajui kiswahili ajui tu

Binafs naangalia nyimbo za kina big Sean ,jay zee n.k ckijui kingreza na video zao awaoneshi kilichoimbwa

Nimekuelewa mkuu
 

kulikua na haja gani ya kufanya controversial na diamond wakati unajua ni adui wake
 
Saa hizi ndio unaona cost yake eeh?
Ulivyokua unashangilia ulikua huyajui haya

Jamani ya Jana yameisha ila majibizano ya Jana yalikuwa hayajengi badala yake ilikuwa ni kuharibiana tu
 
Saa hizi ndio unaona cost yake eeh?
Ulivyokua unashangilia ulikua huyajui haya

nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.
 
Last edited by a moderator:
Video nzuriiii, ila kwa daimond...kiba badooo badooo yupo down saaana hawziiii kufurukutaaaaa
 
nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.

Umeona eeh,kweli matola pamoja kwamba Mimi na yeye ni team tofauti lakini huwa anachangamsha sana jukwaa
 
Last edited by a moderator:
Jamani ya Jana yameisha ila majibizano ya Jana yalikuwa hayajengi badala yake ilikuwa ni kuharibiana tu

nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.

Simaanishi nataka kuyarudisha yale malumbano...lah
Jana pia nilikua siyataki.Jukwaa halina burudani kabisa.
Ila tutafungua nyingine tu,haiwezekani! Au unasemaje chinga
 
Last edited by a moderator:
Simaanishi nataka kuyarudisha yale malumbano...lah
Jana pia nilikua siyataki.Jukwaa halina burudani kabisa.
Ila tutafungua nyingine tu,haiwezekani! Au unasemaje chinga
Yani jukwaa limepoa!tufungue nyuzi nyingine,wale walikua sio washabiki wala nini...wamenibore sana!!
 
Last edited by a moderator:
Mdakuzi tufungulie uzi wa King bwana...!!
 
Kwan Kiba katoa nyimbo nyingine inaitwa MwanaDsm....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…