Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Umefungwa aisee.! Yule jamaa alichafua hali ya hewa, ametukost wote.

Mkuu ile story iliyochafua hali ya hewa ilikuwa ya kweli au uzushi tu?
 
Kwa mtu ambaye hajui kiswahili hata kama video ingekuwa inaonesha kinacho ongelewa asingeweza kuelewa! Kwa hiyo hoja yako kuwa video haiwezi kueleweka kwa wasio jua kingereza sababu story ya wimbo haionekani ...hoja yako haina mashiko kabisa maana kama mtu hajui kiswahili hajui tuu!

Ni kweli kabisa Video ya Alikiba ina mapungufu pamoja na video kuwa na story tofauti na ya wimbo!
Nilitegemea story ya wimbo kuonekana lakini sivyo!

Lakini lazima tuzingatie kuwa video ukiiangalia ina story ya kijana aliye amka na kwenda kukagua ma stage show wake kwaajili ya maandalizi ya show halafu baadae anapiga show!

Video hii haikukidhi matarajio ya wengi na kile kilicho tarajiwa lakini amejitahidi!

Semeni nyie. Mi napiga MUTE.
 
Mkuu ile story iliyochafua hali ya hewa ilikuwa ya kweli au uzushi tu?

Kweli TUPU.
Tuachane nayo tu, maana jamaa anamaumivu mengi, kapigwa kifungo, mambo yake ndo hadharani.. Dah! Noma sana.
 
Wimbo una maudhui mengi aikua lazima aoneshe yote
Kaonesha maudhui ya dance inatosha

Alafu muziki n hica kama mtu ajui kiswahili ajui tu

Binafs naangalia nyimbo za kina big Sean ,jay zee n.k ckijui kingreza na video zao awaoneshi kilichoimbwa
 
Wimbo una maudhui mengi aikua lazima aoneshe yote
Kaonesha maudhui ya dance inatosha

Alafu muziki n hica kama mtu ajui kiswahili ajui tu

Binafs naangalia nyimbo za kina big Sean ,jay zee n.k ckijui kingreza na video zao awaoneshi kilichoimbwa

Nimekuelewa mkuu
 
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.

1.video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.

Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.

Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.

Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.

Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani

kulikua na haja gani ya kufanya controversial na diamond wakati unajua ni adui wake
 
Saa hizi ndio unaona cost yake eeh?
Ulivyokua unashangilia ulikua huyajui haya

Jamani ya Jana yameisha ila majibizano ya Jana yalikuwa hayajengi badala yake ilikuwa ni kuharibiana tu
 
Saa hizi ndio unaona cost yake eeh?
Ulivyokua unashangilia ulikua huyajui haya

nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.
 
Last edited by a moderator:
Video nzuriiii, ila kwa daimond...kiba badooo badooo yupo down saaana hawziiii kufurukutaaaaa
 
nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.

Umeona eeh,kweli matola pamoja kwamba Mimi na yeye ni team tofauti lakini huwa anachangamsha sana jukwaa
 
Last edited by a moderator:
Jamani ya Jana yameisha ila majibizano ya Jana yalikuwa hayajengi badala yake ilikuwa ni kuharibiana tu

nifah tulia hali ya hewa imesha anza kutulia but ndio hivyo burudani imepungua sana hapa jamvini daah wajinga wachache wame tupotezea direction.

Simaanishi nataka kuyarudisha yale malumbano...lah
Jana pia nilikua siyataki.Jukwaa halina burudani kabisa.
Ila tutafungua nyingine tu,haiwezekani! Au unasemaje chinga
 
Last edited by a moderator:
Simaanishi nataka kuyarudisha yale malumbano...lah
Jana pia nilikua siyataki.Jukwaa halina burudani kabisa.
Ila tutafungua nyingine tu,haiwezekani! Au unasemaje chinga
Yani jukwaa limepoa!tufungue nyuzi nyingine,wale walikua sio washabiki wala nini...wamenibore sana!!
 
Last edited by a moderator:
Kwan Kiba katoa nyimbo nyingine inaitwa MwanaDsm....?
 
Back
Top Bottom