Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Kuch kuch Hota hai- something something happens (something happens in the heart). NamasteHaha haaaa,kuch kuch.....naipenda lakini sijui ina maana gani!
Kuch kuch Hota hai- something something happens (something happens in the heart). Namaste
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.
1.video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.
Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.
Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.
Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.
Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani
Shoga nawapenda sana wahindi, so huwa najitahidi kufuatilia maneno Yao, thanks to google thoughHe!shoga uko vizuri...teh teh
Asante kwa tafsiri...
Shoga nawapenda sana wahindi, so huwa najitahidi kufuatilia maneno Yao, thanks to google though
Wakorea nawapenda pia, but wahindi nawapenda zaidi, yani hunitoiMimi nawapenda wakorea mpaka naumwa,wahindi siwapendi kabisa.
Wakorea nawapenda pia, but wahindi nawapenda zaidi, yani hunitoi
Hahaha wanaita "mohabbat" wenyewe, kuna viseries vizuri navifatilia na vina mafunzo mengi apart from mahabaMimi kwa wakorea hunitoi...siwezi kuangalia mapenzi ya kihindi kukimbizana kama kuku....lol
Hahaha waita "mohabbat" wenyewe, kuna viseries vizuri navifatilia na vina mafunzo mengi apart from mahaba
Hahahahahaha umeshindikana Jamani, kukushawishi kote Huko kushneyMh,angalia tu shoga mimi wala hunishawishi....
Hahahahahaha umeshindikana Jamani, kukushawishi kote Huko kushney
kulikua na haja gani ya kufanya controversial na diamond wakati unajua ni adui wake
Saa hizi ndio unaona cost yake eeh?
Ulivyokua unashangilia ulikua huyajui haya
Umeona eeh,kweli matola pamoja kwamba Mimi na yeye ni team tofauti lakini huwa anachangamsha sana jukwaa
Wajinga tu wale walitoka siasani na mambo yao
Wadwanzi bhana, kazi kubadilisha vyupi tu ili muonekane wapya. Mfyuuuuuu!!
Saa hizi unajifanya mpoleeee!!
Wamenikera kweli.
Siku zote hizo wapo na matola kwenye majukwaa yao kwanini wasingemuibukia hukohuko? Au wamfate kitaa si kuna ustawi wa jamii? Kama kweli jamaa wanamfahamu!!
Ha ha ha!!nacheka kama mazuri yani!!Kuna watu visoropwingo sana yanii!Wamenikera kweli.
Siku zote hizo wapo na matola kwenye majukwaa yao kwanini wasingemuibukia hukohuko? Au wamfate kitaa si kuna ustawi wa jamii? Kama kweli jamaa wanamfahamu!!