Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

I need clarification,video ya Mwana ipo blocked USA ina contents za SME ndo nn...I knw ni issue za copyrights,so prpbably viewers watakuwa wachache.Got from u-turn.
 
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.

1.video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.

Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.

Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.

Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.

Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani

Anza kuleta mazuri uliyoyaona kwenye hiyo video usikimbilie mapungufu tu.
 
Mimi kwa wakorea hunitoi...siwezi kuangalia mapenzi ya kihindi kukimbizana kama kuku....lol
Hahaha wanaita "mohabbat" wenyewe, kuna viseries vizuri navifatilia na vina mafunzo mengi apart from mahaba
 
kulikua na haja gani ya kufanya controversial na diamond wakati unajua ni adui wake

Diamond au Ally wameongea wapi kwamba ni maadui.??

ACHA KUWASEMEA. HILI NI BATTLE LETU FANS TU, ILI KUWAPA CHANGAMOTO.
 
Wamenikera kweli.
Siku zote hizo wapo na matola kwenye majukwaa yao kwanini wasingemuibukia hukohuko? Au wamfate kitaa si kuna ustawi wa jamii? Kama kweli jamaa wanamfahamu!!

Usijali tutafungua mwingine,ila itabidi tuwapotezee wajinga wajinga kama hao lisije balaa jingine
 
Wamenikera kweli.
Siku zote hizo wapo na matola kwenye majukwaa yao kwanini wasingemuibukia hukohuko? Au wamfate kitaa si kuna ustawi wa jamii? Kama kweli jamaa wanamfahamu!!
Ha ha ha!!nacheka kama mazuri yani!!Kuna watu visoropwingo sana yanii!
 
Back
Top Bottom