Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

Mapungufu yaliyopo kwenye video ya Ally kiba (Mwana Dsm)

IFRS

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
2,915
Reaction score
5,233
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.

1.video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.

Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.

Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.

Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.

Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani
 
Kwa mtu ambaye hajui kiswahili hata kama video ingekuwa inaonesha kinacho ongelewa asingeweza kuelewa! Kwa hiyo hoja yako kuwa video haiwezi kueleweka kwa wasio jua kingereza sababu story ya wimbo haionekani ...hoja yako haina mashiko kabisa maana kama mtu hajui kiswahili hajui tuu!

Ni kweli kabisa Video ya Alikiba ina mapungufu pamoja na video kuwa na story tofauti na ya wimbo!
Nilitegemea story ya wimbo kuonekana lakini sivyo!

Lakini lazima tuzingatie kuwa video ukiiangalia ina story ya kijana aliye amka na kwenda kukagua ma stage show wake kwaajili ya maandalizi ya show halafu baadae anapiga show!

Video hii haikukidhi matarajio ya wengi na kile kilicho tarajiwa lakini amejitahidi!
 
Utasemaje Tujadili Madhaifu Pekee Yake kwan Hakuna Alipofanya vizur..? Pili kwan umelinganisha Moja kwa Moja Na video Ya Ntampata wap kwan na yenyewe Haina Madhaifa..? N bora Kukaa Kmya Kama Huna Cha kuandika
 
Kwa mtu ambaye hajui kiswahili hata kama video ingekuwa inaonesha kinacho ongelewa asingeweza kuelewa! Kwa hiyo hoja yako kuwa video haiwezi kueleweka kwa wasio jua kingereza sababu story ya wimbo haionekani ...hoja yako haina mashiko kabisa maana kama mtu hajui kiswahili hajui tuu!

Ni kweli kabisa Video ya Alikiba ina mapungufu pamoja na video kuwa na story tofauti na ya wimbo!
Nilitegemea story ya wimbo kuonekana lakini sivyo!

Lakini lazima tuzingatie kuwa video ukiiangalia ina story ya kijana aliye amka na kwenda kukagua ma stage show wake kwaajili ya maandalizi ya show halafu baadae anapiga show!

Video hii haikukidhi matarajio ya wengi na kile kilicho tarajiwa lakini amejitahidi!

Tusiishi Kwa Kukariri Jaman
 
Msanii mwenye jina kubwa hapa bongo ally kibba Jana 19.12.2014 ameachia video iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na wapenzi wake ya Mwana dsm nimeona tujadili mapungufu yake ili aweze kujirekebisha kwenye video zinazofuata.
1.video hii itatamba sana hapa nchini Tz labda na east Africa tu ila itapata shida sana kutamba katika nchi zisizojua kiswahili kwa sababu video ya wimbo haielezei uhalisia wa maudhui wa nyimbo husika.
Kiufupi mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua wimbo unazungumzia nini.
Kwa wale ambao hamjanielewa,wewe mtanzania unayejua kiswahili jaribu kuangalia video wakati sound ipo silent kama utaelewa video inazungumzia nini.
Halafu angalia video ya diamond ya NITAMPATA WAPI bila sauti.
Wewe mwenzangu umeona mapungufu gani
unamaanisha mtu asiyejua kiswahili akisikiliza huo wimbo hasiki chochote,Music is the universal language..hata kama huelewi utaufeeeeeel tu.
 
unamaanisha mtu asiyejua kiswahili akisikiliza huo wimbo hasiki chochote,Music is the universal language..hata kama huelewi utaufeeeeeel tu.

Hapana nimemaanisha mtu asiyejua kiswahili hawezi kujua nini kinachozungumziwa
 
NilitKa kushangaa bila kumfanNisha na chib pole hujui ufanyacho
 
we jamaa ulitaka iwe design ya video ya pro.j ya zali la mentali nini?
Usikariri angalia video za wenzetu sio kila kitu uoneshwa kwanza video za hivyo mimi naonaga za kishamba inakuwa kama movie.
 
we jamaa ulitaka iwe design ya video ya pro.j ya zali la mentali nini?
Usikariri angalia video za wenzetu sio kila kitu uoneshwa kwanza video za hivyo mimi naonaga za kishamba inakuwa kama movie.

Mwimbo wa Mwana DSM ni mwimbo unaoelezea story.ni tofauti na nyimbo zingine za kuburudisha tu.hivyo hata video yake inatakiwa imuelekeze mtazamaji kisa cha Mwana dsm
 
Mkuu Uzi wetu wa diamond fans ndo umefungwa au nn maana siwezi kuuaccess kabis naona ki kufuli....haha au nimebanikwa???

Uzi ulifungwa jana pamoja na wa ally kibba.jana hali ya hewa kwenye jukwaa hili ilichafuka sana.namuomba Mungu ile hali isijirudie tena
 
msanii anayeongoza kwa kuwa na video nzuri TZ ni diamond utake usitake,na msanii anayeongoza kuwa na video inayoendana na wimbo ni daimond yaan tangu kamwambie,mbagala,ntarejea,moyo wangu,mawazo,nataka kulewa,kesho,namba one,mdogomdogo na hii ntampata wapi.jamaa yupo bouraa
 
Mkuu Uzi wetu wa diamond fans ndo umefungwa au nn maana siwezi kuuaccess kabis naona ki kufuli....haha au nimebanikwa???

Umefungwa aisee.! Yule jamaa alichafua hali ya hewa, ametukost wote.
 
Back
Top Bottom