The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Unataka kusema nn πYule Afande Nsato nimesoma naye shule yetu ilikuwa na DIVISION IV mbili tu
Kwahiyo hadi wale wadada pia ni wafungwaKtk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.
Serikali imeshakuwa mfu,inasubiri kuzikwa tu!Siku hizi account za serikali zinaendeshwa na mihemko sana.. Mara wablock watu mara wafunge comment section. Inamaana hawataki watu watoe maoni yao
Ukiangalia zile mbwembwe za kamanda Unajua anasema uongo wala huhitaji D mbili. Mwezi mzima walikuwa wanaandaa sinema.Ktk wale watu 9, mmoja tu ndiye polisi (yule aliyejulikana kwenye utekaji wa bonge), lkn wengine wote ni wafungwa toka gereza nalofanyia kazi mm.
Hivi tunavuoongea wamesharudishwa gerezani na yule askari yuko nyumbani kwake na mkewe.