Mapya yaibuka kuhusu baba wa diamond


acha kua kchwa maj wewe,huyo n mdogo wa diamond kwa baba m1 mama ndo mbal mbal,hujaelewa nin xaxa.?
 
uyo ni kama baba mzazi kamlea toka akiwa tumboni,mnataka amuite uyo baba kova au mabwepande! dimond lazim amuite uyo baba na amueshimu

mkuu usifananishe kabisa mzazi wa mtu na mabwepande,mabwepande ni noma wanang'oa kucha kwa spoku.
 


ndiyo maana ni lazima uwe mwangalifu kuoa mwanamke ambaye tayari ana watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…