Bora walete mpya maana ile imechosha na ni kweli ubora ulikuwa finyu sana nashangaa director ni Raqey mpiga picha wa Rais Zanzibar!Hiyo Mwantumu kuna project yake nyingine unakuja, muhusika yupo humu aliwahi kunipa breafing, uzalishaji wao wanazingatia quality.
By the way Mimi siyo mshabiki wa hizi Bongo movie at least hao original comedy naweza kupoteza muda kuangalia nikiwa nipo idle, na hiyo Mwantumu.
Director wa Mwantumu ni nani?Joti nae kuna namna anatoa ‘ushirikiano’ kwenye Mwanatumu, sio bure!
Ukisikia kichaa ndio kama wewe, mmatumbi undugu na Mzungu au Mwarabu unatoka wapi?
Hakuna uhusiano na dini, wewe ni mpumbavu na mjinga.Kwakua wewe sio muislamu huwezi elewa
Mbona Wazambia wanatuzidi hata Mpira? au hujui kama Chama na Musonda ni Wazambia?Your tisa ila Mpali ni bonge moja la tamthiliya yani najiuliza Bongo movie wamezidiwa hadi na wazambia kweli!
Dah! Kweli ni kweli mkuu.Mbona Wazambia wanatuzidi hata Mpira? au hujui kama Chama na Musonda ni Wazambia?
Ipo tamthilia moja ya Kiswahili haina muda mrefu sana wamejaribu nao mazingira yanayoshahabiana na yake, nimesahau kidogo.Your tisa ila Mpali ni bonge moja la tamthiliya yani najiuliza Bongo movie wamezidiwa hadi na wazambia kweli!
Ndiyo siri ya mtungi walifanya vizuri. ,yani mambo yanayotokea kwenye jamii.Ipo tamthilia moja ya Kiswahili haina muda mrefu sana wamejaribu nao mazingira yanayoshahabiana na yake, nimesahau kidogo.
Lakini Cheche na Siri ya mtungi si walijitahidi wale?
Kwa akili tu ya kawaida Pili ana hela gani ya kuweza kumiliki kipindi mpaka kiwe kikubwa vile?Hako kapili...sometimes yes sometimes no ......Kuna kipindi nakaonaga karembo kuna kipindi nakaonaga kabovu....kumbe kuna mshefa wa dstv anakamatia humo kukapa promo!!!??
Astaghfirullah laazin.
Na sasa Maria kapata ujauzito. Mimba ataambiwa ni yake.Kila siku Maria sijui kamfanya nini Frank, ujinga mtupu!
Mimi tu huwa nahadithiwa nimeshachoka sijui nyinyi wapenzi watazamaji.