ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Aisee kumbe alijisubmit mzima mzima!Kazaa nae mwaya, ila mtoto gani sitosema.
Sikutaka kuweka hilo katika habari ili kuwalinda watoto, tupambane na wazazi wao tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe alijisubmit mzima mzima!Kazaa nae mwaya, ila mtoto gani sitosema.
Sikutaka kuweka hilo katika habari ili kuwalinda watoto, tupambane na wazazi wao tu.
Kwamba Shija kajikaanga na mafuta yake mwenyewe?
Wasiwasi mjanja sana, wasiwasi wake unaweza kumvusha katika hili.Naam maana yeye kakiri kutoa rushwa...
Isipokuwa kwa Wasiwasi ni hadi itapochunguzwa na kuthibitika maana ametajwa kama mtuhumiwa wa pili...
Mtoa na mla rushwa wote hujulikana kama adui wa haki...
Kweli nimeamini duniani hakuna cha bure!Huba lilikolea nazi!
Unafikiri mpaka kipindi kupewa airtime vile mchezo?
Heshima kwako Nifah. Sitarudia tena. Nisamehe.Usitutoe kwenye reli na masuala yako ya udini Mkuu.
Hakuna kokote katika haya ulikoongelewa udini, tafadhali.
Si unajua mbongo mpe title tu habari atajaza mwenyewe 😂😂😂😂😂Halafu nikitafuta msaada sipati. Ujue uzembe katika kidogo unaleta mashaka, nikajiuliza ningelipia mwaka je?
Ila kwa ninavyopenda umbea nitarudi tu siku moja.
Habari mama niliyoiweka kabla ya hii imesambaa sana, na wanajifanya kama wameandika wao na hadi picha wamechukua zilezile!
Kuna mbea amepost na ameweka credit from jamiiforumWaliibeba kama ilivyo mwaya.
Vipindi vya zamani vinavyorudiwa kwenye TV zetu hamna ambae huwa anafaidi zaidi ya broadcaster kwasababu Tanzania hamna mfumo wakulipa royalties wala residuals kwenye kazi za filamu na TV shows, pamoja na kwamba wao wanaendelea kutengeneza hela.Bado najiuliza Joti na Mwanatumu yake ina karibu na pengine kuzidi miaka 10 kuna namna gani?
Maana hadi waigizaji wakuu mule bwana Jengua na Mama Abdul (wapumzike kwa amani) walishatutoka hadi tumesahau lakini Mwanatumu bado ipo tu!
Tamthilia nzuri sana na ndio pekee ninayoifatilia.Your tisa ila Mpali ni bonge moja la tamthiliya yani najiuliza Bongo movie wamezidiwa hadi na wazambia kweli!
Umeniongezea kitu Lizzy, thank you.Vipindi vya zamani vinavyorudiwa kwenye TV zetu hamna ambae huwa anafaidi zaidi ya broadcaster kwasababu Tanzania hamna mfumo wakulipa royalties wala residuals kwenye kazi za filamu na TV shows, pamoja na kwamba wao wanaendelea kutengeneza hela.
Broadcasters huwa wananunua kazi kwa makubaliano ya kwamba wanaweza kuitumia vyovyote na popote vile watakavyotaka, isipokua zile ambazo ni licensed ofcourse. Sasa watendaji wakianza kuzoea watazamaji wao, (au labda ndio wanajaribu kubana matumizi kwaajili ya kazi chache zinazowaongezea ulaji), badala ya kuingia gharama za kununua content mpya wanarudia zile za zamani kujaza slot ama wanaonyesha kwenye chanel nyingine kwasababu haiwagharimu chochote.
CoffeetableWewe? Nani huyo? Nipe username yake pls.
Ndugu yangu, nakiri mimi ni mmoja katika walioamini… Ila sipendi kuliweka suala hilo katika udini maana ile ni vita na sisi sote ni wa Mungu na marejeo yetu sote hakika ni kwake.
Haipaswi kuangalia upande mmoja, au kulitazama hili katika udini.
Kuna watoto wanapoteza maisha pande zote, malaika wale wote!
Busara ni kuombea vita iishe kwa amani kupatikana kwa pande zote mbili na sio upande mmoja pekee.
Shukrani
Lol...ndio ni subjective, ila unaweza usipende kitu lakini ukajua ni kazi nzuri ya sanaa.mbona jua kali ni tamthiliya kali sana japo nimeanza kuifatilia ikiwa katikati, hata dhohari inaonekana iko powa japo bado ipo mwanzo, tamthiliya mbaya labda ni wimbi tu halafu uzuri au ubaya wakitu ni subjective!