Mara: Amuua mwanaye (miezi 6) akimtuhumu kujilizaliza

Mara: Amuua mwanaye (miezi 6) akimtuhumu kujilizaliza

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Manyama Mujora mkazi wa mtaa wa Kwangwa B Manispaa ya Musoma kwa tuhuma ya kumpiga hadi kumuua mwanaye mwenye umri wa miezi sita kwa madai ya kuwa alikuwa akijiliza na baada ya tukio hilo alichukua jukumu la kuchimba kaburi ili amzike.

Kaburi.jpg

Kaburi lililochimbwa na mtuhumiwa kwa nia ya kumzika mwanaye

Kaburi1.jpg
 
Halafu baadae wasingizie pepo! Hivi pepo lishindwe kumuua mtoto wakati wa kuzaliwa lisubiri kupiga makofi mtoto wa miezi sita
 
Miezi sita mdogo sana kusema anajiliza liza, je kama alikua anaumwa,kakojoa anahitaji kubadilishwa nguo etc. au Manyama aliona mtoto anamkosesha nafasi kwa mkewe.
 
Watu wachache ndio wana fanya Mara izidi kuonekana katili
 
Hajui kuwa ukisha zaa mtoto si wako ni wetu!!! Hivyo huna mamlaka ya kutoa uhai wake! Mpuuzi sana huyu, mtoto wa miezi sita anajilizaliza? Si angetuletea kama hataki alielie! Kulialia ndiyo raha ya kuwa na mtoto.Tena kulia ndiyo anakuambia kuna tatizo hivyo jukumu lako ni kuangalia ana tatizo gani. Labda kajikojolea, au ana njaa an anaumwa.
 
Huyo si binadamu, ni shetani. Serikali inapoteza mda kumfungia, anafaa kupigwa na Uma kisha kuchomwa kwa tairi
 
Miezi sita mdogo sana kusema anajiliza liza,je kama alikua anaumwa,kakojoa anahitaji kubadilishwa nguo etc. au Manyama aliona mtoto anamkosesha nafasi kwa mkewe
In maras voice "mama vero ttanddika kirraggo nattaka kuttofya😂😂😂😂😂"
 
Hapo ni mtoto,ingekuwa mke ndio ingekuwa balaa mara mbili...
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Manyama Mujora mkazi wa mtaa wa Kwangwa B Manispaa ya Musoma kwa tuhuma ya kumpiga hadi kumuua mwanaye mwenye umri wa miezi sita kwa madai ya kuwa alikuwa akijiliza na baada ya tukio hilo alichukua jukumu la kuchimba kaburi ili amzike.

View attachment 1800050
Kaburi lililochimbwa na mtuhumiwa kwa nia ya kumzika mwanaye

View attachment 1800051
Huyu ni wa mirembe kisha ndio apelekwe Isanga
 
Back
Top Bottom