Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eenhh?iWakurya Wajinga Wajinga sana
Huyo mgambo anaweza kuirithi mbingu.Amekufa kifo chema,japo kikatili.Askari mgambo Fred William (47), mkazi wa Kijiji cha Mkengwa, Rorya mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kuchomwa na kisu shingoni akiwa katika kituo cha polisi Mkengwa, wakati akimzuia aliyemchoma kisu kutomfanyia fujo mke wake aliyekimbilia kituoni hapo kuomba msaada.
SOURCE: EA Radio
Mimi siyo Mkurya tafadhali bali ni Mpemba kutoka hapa Kisiwani na Jina langu halisi ( ya Passport, NIDA na RITA ) ni Omary Bahari Kibua sawa?Acha kuwatukana ndugu zake MINOCYCLINE
Kuingilia ugomvi usiokuhusu inahitaji moyo aseeAskari mgambo Fred William (47), mkazi wa Kijiji cha Mkengwa, Rorya mkoani Mara, amefariki dunia baada ya kuchomwa na kisu shingoni akiwa katika kituo cha polisi Mkengwa, wakati akimzuia aliyemchoma kisu kutomfanyia fujo mke wake aliyekimbilia kituoni hapo kuomba msaada.
SOURCE: EA Radio
Sidhani kama mpo sawa. Hapo anatimiza majukumu ya kazi yake. Anamtetea mtu anayeonewa, tena kituoni. Aisee jamani tuwe na utu. Kesho inaweza ikatokea mwizi anakushambulia au majambazi wamevamia polisi wanachelewa tunalaumu kumbe polisi wamesoma hizi komenti zetu huku wakaona kumbe unawatetea then ukipata tatizo wanakuona mjinga.Kiherehere chao kinawaponza
Kumbe vita ni 😬🤫Wakurya Wajinga Wajinga sana
Sijamzunguzmia huyo aliyetiwa daga 17.Sidhani kama mpo sawa. Hapo anatimiza majukumu ya kazi yake. Anamtetea mtu anayeonewa, tena kituoni. Aisee jamani tuwe na utu. Kesho inaweza ikatokea mwizi anakushambulia au majambazi wamevamia polisi wanachelewa tunalaumu kumbe polisi wamesoma hizi komenti zetu huku wakaona kumbe unawatetea then ukipata tatizo wanakuona mjinga.