CTC ndo wapi huko mkuu?Ndiye siye, siye ndiye!
Ukiwa na ratiba ya kutembelea maeneo haya kuna namna itakukumbusha jinsi ya kuishi, sio kwa maana ya unyanyapaa bali kujilinda na kuwalinda wengine.
Pamoja na elimu utakayoweza kuipata ukiamua kuuliza wahusika, pia itakusaidia kurejea kazi ya macho yako.
Huku utaweza kupata marafiki ambao unapishana nao mitaani bila kujua. Sio kwa sura wala sio kwa shepu na hata tabasamu usoni.
Hakika, USIPIME kwa MACHO.
Kijana mbona kama unaweweseka.Ndiye siye, siye ndiye!
Ukiwa na ratiba ya kutembelea maeneo haya kuna namna itakukumbusha jinsi ya kuishi, sio kwa maana ya unyanyapaa bali kujilinda na kuwalinda wengine.
Pamoja na elimu utakayoweza kuipata ukiamua kuuliza wahusika, pia itakusaidia kurejea kazi ya macho yako.
Huku utaweza kupata marafiki ambao unapishana nao mitaani bila kujua. Sio kwa sura wala sio kwa shepu na hata tabasamu usoni.
Hakika, USIPIME kwa MACHO.
Wenyewe hawapendi uwaseme HIVYOUmeongea point sana, kwa ambao hawajawahi kwenda hawawezi kukuelewa, nakumbuka niliwahi kufata PEP kule, ebana kuna pisi za shule ya msingi na sekondari zinakula njugu, kuna pisi under 30 ukiziona mtaani unajua umepata tena unawaambia masela hii pisi nakula kavu niifaidi, naipakia na mkongo kumbe unajikaanga kwa mafuta yako. Mungu atulinde tu kwa kweli.
Virusi gani? HUONI km bado unamchanganyahasa ya virusi
Usiseme wenyewe mdau, hujui kesho yako.Wenyewe hawapendi uwaseme HIVYO
Mambo mengine tujifunze kwa kushuhudia na wala si kwa kusimuliwa.Ndiye siye, siye ndiye!
Ukiwa na ratiba ya kutembelea maeneo haya kuna namna itakukumbusha jinsi ya kuishi, sio kwa maana ya unyanyapaa bali kujilinda na kuwalinda wengine.
Pamoja na elimu utakayoweza kuipata ukiamua kuuliza wahusika, pia itakusaidia kurejea kazi ya macho yako.
Huku utaweza kupata marafiki ambao unapishana nao mitaani bila kujua. Sio kwa sura wala sio kwa shepu na hata tabasamu usoni.
Hakika, USIPIME kwa MACHO.
Tusiposimuliana ukweli na kuambiana familia zinateseka.Uzi unalengo zuri ila umekaa kichochezi chochezi😁
Hahaaa.,...eti unaipakia mkongoUmeongea point sana, kwa ambao hawajawahi kwenda hawawezi kukuelewa, nakumbuka niliwahi kufata PEP kule, ebana kuna pisi za shule ya msingi na sekondari zinakula njugu, kuna pisi under 30 ukiziona mtaani unajua umepata tena unawaambia masela hii pisi nakula kavu niifaidi, naipakia na mkongo kumbe unajikaanga kwa mafuta yako. Mungu atulinde tu kwa kweli.
NDIO HIVYO kujilinda ni muhimu zaidiTuendelee kujilinda, kumuomba Mungu ili tuendelee kua negative siku zote🤸
Vipi mkuu ulitembelea kuchukua vidonge?Ndiye siye, siye ndiye!
Ukiwa na ratiba ya kutembelea maeneo haya kuna namna itakukumbusha jinsi ya kuishi, sio kwa maana ya unyanyapaa bali kujilinda na kuwalinda wengine.
Pamoja na elimu utakayoweza kuipata ukiamua kuuliza wahusika, pia itakusaidia kurejea kazi ya macho yako.
Huku utaweza kupata marafiki ambao unapishana nao mitaani bila kujua. Sio kwa sura wala sio kwa shepu na hata tabasamu usoni.
Hakika, USIPIME kwa MACHO.