Mara nyingi nikilala usiku namuota Mungu. Kuna mwingine huwa inamtokea?

Mara nyingi nikilala usiku namuota Mungu. Kuna mwingine huwa inamtokea?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Kwa baadhi ya watu humu kama mnavonijua humu jukwaani, mimi sio mtu wa mambo ya kiroho, ni mkristo, ila ni mkristo jina, kanisani siendagi kabisa dhambi ninazo nyingi sana, sisomagi biblia Wala sio mtu wa maombi, ila kuna kitu kimeanza nitokea hivi karibuni kimeanza kama miaka 2 iliopita, ambacho sijawahi kuki-experience tangu nizaliwe.

Mara nyingi naota ndoto tofauti tofauti, lakini ndoto zote zikiwa na theme moja "Mungu" au "Yesu"

1) Kipindi nlikuwa sina kazi wala hela na nlikuwa nimefulia, usiku nliota Mungu amesimama mbele yangu, sikumuona uso lakini nlivoona uwepo tu huo, kitu ndani mwangu kiliniambia kuwa huyo ni Mungu Muumba wa mbingu na nchi, kwenye maisha ya mchana huwa nasemaga siku nikimuona Mungu cha kwanza ntakachomuomba ni hela nyingi, lakini nlivyomuona ndotoni siku hiyo, wazo la kumuomba hela halikuwepo, nilipiga magoti mbele yake na kulia nikimwambia kuwa nimemfelisha, hakujibu chochote ndoto ikaishia hapo.

2) Siku nyingine nikilala naota natembea na Mungu k.v Abraham kwenye biblia alivokuwa anatembea na Mungu, huku tunaongea.

3) Siku ingine nikilala naota kimoyomoyo naomba, siku nyingine naota roho yangu inaimba na kumsifu Mungu, ilhali kiuhalisia muda wa mchana siwezi omba hata dakika moja, na mchana huwa sina desturi ya kumuimbia Mungu.

4) Siku nyingine naota roho yangu inaniambia inabidi nijenge mahusiano mazuri na Yesu.

5)Siku nyingine naota naondoa machukizo kanisani.

Hizi ndoto zimekua zikijirudia kwa nyakati tofauti tofauti, kuna mtu mwingine ameshawahi pitia hii hali?

Nikikaa mahali nikiwaza dunia ilivyo tamu, nafadhaika, lakini moyoni ukweli naujua kwamba natakiwa niachane na anasa za dunia, niishi maisha matakatifu nimfate Mungu, hapa nilipo nahesabu gharama za kumfata Mungu, ili nikianza nisiishie njiani.

Kuna mtu ishawahi mtokea hii hali, naamini si mimi tu ninaepitia hii. hali, wapo wengine wanapitia hii hali ila kwa namna tofauti.
 
Habarini,

Kwa baadhi ya watu humu kama mnavonijua humu jukwaani, mimi sio mtu wa mambo ya kiroho, ni mkristo, ila ni mkristo jina, kanisani siendagi kabisa dhambi ninazo nyingi sana, sisomagi biblia Wala sio mtu wa maombi, ila kuna kitu kimeanza nitokea hivi karibuni kimeanza kama miaka 2 iliopita, ambacho sijawahi kuki-experience tangu nizaliwe.

Mara nyingi naota ndoto tofauti tofauti, lakini ndoto zote zikiwa na theme moja "Mungu" au "Yesu"

1) Kipindi nlikuwa sina kazi wala hela na nlikuwa nimefulia, usiku nliota Mungu amesimama mbele yangu, sikumuona uso lakini nlivoona uwepo tu huo, kitu ndani mwangu kiliniambia kuwa huyo ni Mungu Muumba wa mbingu na nchi, kwenye maisha ya mchana huwa nasemaga siku nikimuona Mungu cha kwanza ntakachomuomba ni hela nyingi, lakini nlivyomuona ndotoni siku hiyo, wazo la kumuomba hela halikuwepo, nilipiga magoti mbele yake na kulia nikimwambia kuwa nimemfelisha, hakujibu chochote ndoto ikaishia hapo.

2) Siku nyingine nikilala naota natembea na Mungu k.v Abraham kwenye biblia alivokuwa anatembea na Mungu, huku tunaongea.

3) Siku ingine nikilala naota kimoyomoyo naomba, siku nyingine naota roho yangu inaimba na kumsifu Mungu, ilhali kiuhalisia muda wa mchana siwezi omba hata dakika moja, na mchana huwa sina desturi ya kumuimbia Mungu.

4) Siku nyingine naota roho yangu inaniambia inabidi nijenge mahusiano mazuri na Yesu.

5)Siku nyingine naota naondoa machukizo kanisani.

Hizi ndoto zimekua zikijirudia kwa nyakati tofauti tofauti, kuna mtu mwingine ameshawahi pitia hii hali?

Nikikaa mahali nikiwaza dunia ilivyo tamu, nafadhaika, lakini moyoni ukweli naujua kwamba natakiwa niachane na anasa za dunia, niishi maisha matakatifu nimfate Mungu, hapa nilipo nahesabu gharama za kumfata Mungu, ili nikianza nisiishie njiani.

Kuna mtu ishawahi mtokea hii hali, naamini si mimi tu ninaepitia hii. hali, wapo wengine wanapitia hii hali ila kwa namna tofauti.
Roho wa Mungu anakuelekeza mahali,utaleta tu mrejeshp siku moja humu,cha muhimu ni kumgeukia Mungu kwa kuacha maisha yako ya dhambi ,na uhakika hutajutia hayo maamuzi...
 
Habarini,

Kwa baadhi ya watu humu kama mnavonijua humu jukwaani, mimi sio mtu wa mambo ya kiroho, ni mkristo, ila ni mkristo jina, kanisani siendagi kabisa dhambi ninazo nyingi sana, sisomagi biblia Wala sio mtu wa maombi, ila kuna kitu kimeanza nitokea hivi karibuni kimeanza kama miaka 2 iliopita, ambacho sijawahi kuki-experience tangu nizaliwe.

Mara nyingi naota ndoto tofauti tofauti, lakini ndoto zote zikiwa na theme moja "Mungu" au "Yesu"

1) Kipindi nlikuwa sina kazi wala hela na nlikuwa nimefulia, usiku nliota Mungu amesimama mbele yangu, sikumuona uso lakini nlivoona uwepo tu huo, kitu ndani mwangu kiliniambia kuwa huyo ni Mungu Muumba wa mbingu na nchi, kwenye maisha ya mchana huwa nasemaga siku nikimuona Mungu cha kwanza ntakachomuomba ni hela nyingi, lakini nlivyomuona ndotoni siku hiyo, wazo la kumuomba hela halikuwepo, nilipiga magoti mbele yake na kulia nikimwambia kuwa nimemfelisha, hakujibu chochote ndoto ikaishia hapo.

2) Siku nyingine nikilala naota natembea na Mungu k.v Abraham kwenye biblia alivokuwa anatembea na Mungu, huku tunaongea.

3) Siku ingine nikilala naota kimoyomoyo naomba, siku nyingine naota roho yangu inaimba na kumsifu Mungu, ilhali kiuhalisia muda wa mchana siwezi omba hata dakika moja, na mchana huwa sina desturi ya kumuimbia Mungu.

4) Siku nyingine naota roho yangu inaniambia inabidi nijenge mahusiano mazuri na Yesu.

5)Siku nyingine naota naondoa machukizo kanisani.

Hizi ndoto zimekua zikijirudia kwa nyakati tofauti tofauti, kuna mtu mwingine ameshawahi pitia hii hali?

Nikikaa mahali nikiwaza dunia ilivyo tamu, nafadhaika, lakini moyoni ukweli naujua kwamba natakiwa niachane na anasa za dunia, niishi maisha matakatifu nimfate Mungu, hapa nilipo nahesabu gharama za kumfata Mungu, ili nikianza nisiishie njiani.

Kuna mtu ishawahi mtokea hii hali, naamini si mimi tu ninaepitia hii. hali, wapo wengine wanapitia hii hali ila kwa namna tofauti.
aisee
 
Wewe ni mkristo, sawa unaweza kuwa mdhambi, huendi kanisani lakini kama ukibaki kuamini wewe ni mkristo lazima nafsini utakuwa unajilaumu.

Ndo maisha ya wakristo wote.

Hofu zetu za ndani kabisa zinajidhihirisha kwenye fahamu ndogo(subconscious mind) zetu kama ndoto.
Unachokifikiri sana ndo unachokiota.

Nimalize kwa kusema kwamba Mungu hayupo.
 
Habarini,

Kwa baadhi ya watu humu kama mnavonijua humu jukwaani, mimi sio mtu wa mambo ya kiroho, ni mkristo, ila ni mkristo jina, kanisani siendagi kabisa dhambi ninazo nyingi sana, sisomagi biblia Wala sio mtu wa maombi, ila kuna kitu kimeanza nitokea hivi karibuni kimeanza kama miaka 2 iliopita, ambacho sijawahi kuki-experience tangu nizaliwe.

Mara nyingi naota ndoto tofauti tofauti, lakini ndoto zote zikiwa na theme moja "Mungu" au "Yesu"

1) Kipindi nlikuwa sina kazi wala hela na nlikuwa nimefulia, usiku nliota Mungu amesimama mbele yangu, sikumuona uso lakini nlivoona uwepo tu huo, kitu ndani mwangu kiliniambia kuwa huyo ni Mungu Muumba wa mbingu na nchi, kwenye maisha ya mchana huwa nasemaga siku nikimuona Mungu cha kwanza ntakachomuomba ni hela nyingi, lakini nlivyomuona ndotoni siku hiyo, wazo la kumuomba hela halikuwepo, nilipiga magoti mbele yake na kulia nikimwambia kuwa nimemfelisha, hakujibu chochote ndoto ikaishia hapo.

2) Siku nyingine nikilala naota natembea na Mungu k.v Abraham kwenye biblia alivokuwa anatembea na Mungu, huku tunaongea.

3) Siku ingine nikilala naota kimoyomoyo naomba, siku nyingine naota roho yangu inaimba na kumsifu Mungu, ilhali kiuhalisia muda wa mchana siwezi omba hata dakika moja, na mchana huwa sina desturi ya kumuimbia Mungu.

4) Siku nyingine naota roho yangu inaniambia inabidi nijenge mahusiano mazuri na Yesu.

5)Siku nyingine naota naondoa machukizo kanisani.

Hizi ndoto zimekua zikijirudia kwa nyakati tofauti tofauti, kuna mtu mwingine ameshawahi pitia hii hali?

Nikikaa mahali nikiwaza dunia ilivyo tamu, nafadhaika, lakini moyoni ukweli naujua kwamba natakiwa niachane na anasa za dunia, niishi maisha matakatifu nimfate Mungu, hapa nilipo nahesabu gharama za kumfata Mungu, ili nikianza nisiishie njiani.

Kuna mtu ishawahi mtokea hii hali, naamini si mimi tu ninaepitia hii. hali, wapo wengine wanapitia hii hali ila kwa namna tofauti.
Bangi hizo mnavuta bila kula zinawapeleka pabaya
 
Umeshapata idea ya biashara kwenye ndoto fungua kanisa alafu tafuta jina la kipekee jiite Nabii kali yao ila hii kali yao iunganishe isomeke kama jina moja yani Nabii kaliyao utajiri umeupata.
 
kiazi wewe.

badirika kua muislamu laasivyo utaenda motoni kafiri wewe
 
mjukuu wangu, hauna upungufu wa damu kweli?? Maana kuna magonjwa ukiwa nayo kichwa inafyatuka usiku unaota vitu vya ajabu....

Nakushauri nenda kachek upungufu wa damu
 
Bora ww unaota habari za mungu, minaota mapicha picha ya ajabu kama Jana nimeota nimekuwa muhindi kanji bhai na masharubu kama yote, mustach huo juz nikaota Niko vitani huko uruss nikapigwa kombora la Irani
 
Duh kachek afya ya akili
yesuu uliyemuota ndo yule wa kwenye video?

ref mungu ni nguvu(energy) haionekani.
 
Back
Top Bottom