Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Habari za usiku wanaJF , ndugu zangu naomba nipate msaada kutota kwenu.
Mara nyingii nyakati za usiku nimekuwa nikiota ndoto nikiwa naongoea na watu waliokufa hasa baba yangu mzazi na mdogo anaenifuata. hawa wote ni wafu,
Mdogo wangu alitangulia kufarikiriki December 2010 kipindi hicho mimi ndio nilikuwa nimemaliza form 4 nilikuwa nasubiri matokeo, babaangu alifariki 2017 wakati ambao nilikuwa namalizIa UE.
Muda wote nikiwa nao kwenye ndoto zangu nimekwa nikiota tukiwa wote kwenye wakati wa furaha. Nimekuwa nikiyaona yale maisha ambayo nimekulia, nimekuwa nikimuona babaabu halisi. Mdogo wangu mara nyingi nimekuwa nikishirikiana nae kwenye hizi hustle za kila siku . Nina ndugu wengi wengi sana lkn mara nyingi nimekuwa nikiomuota BABA na MDOGO WANGU,
Lakn pia kuna wakati naota kufanya mitihani ya shule ambayo sikujiandaa. kwenye ndoto hii mara nyingi huwa nakuwa na mshituko, hata ninaposhituka lazima mapigo ya moyo yabadirike.
Huu ni ukweli ninaowaeleleza. Haiwezi ikapita wiki moja sijaota nikiwa na Babaangu au mdogo wamgu .
Hii ina maana gani?
Mara nyingii nyakati za usiku nimekuwa nikiota ndoto nikiwa naongoea na watu waliokufa hasa baba yangu mzazi na mdogo anaenifuata. hawa wote ni wafu,
Mdogo wangu alitangulia kufarikiriki December 2010 kipindi hicho mimi ndio nilikuwa nimemaliza form 4 nilikuwa nasubiri matokeo, babaangu alifariki 2017 wakati ambao nilikuwa namalizIa UE.
Muda wote nikiwa nao kwenye ndoto zangu nimekwa nikiota tukiwa wote kwenye wakati wa furaha. Nimekuwa nikiyaona yale maisha ambayo nimekulia, nimekuwa nikimuona babaabu halisi. Mdogo wangu mara nyingi nimekuwa nikishirikiana nae kwenye hizi hustle za kila siku . Nina ndugu wengi wengi sana lkn mara nyingi nimekuwa nikiomuota BABA na MDOGO WANGU,
Lakn pia kuna wakati naota kufanya mitihani ya shule ambayo sikujiandaa. kwenye ndoto hii mara nyingi huwa nakuwa na mshituko, hata ninaposhituka lazima mapigo ya moyo yabadirike.
Huu ni ukweli ninaowaeleleza. Haiwezi ikapita wiki moja sijaota nikiwa na Babaangu au mdogo wamgu .
Hii ina maana gani?