Mara paa demu unayetaka kumuoa anaingia kwenye bifu na mange kimambi

Kumbe huyo Mange anawafahamu watu wote[emoji34]
 
Kuna baadhi ya watu humu ndani JF wanamdharau sana Mange kwa kuona kama ni mtu mjinga Fulani hivi ambae hata akiongea vipi hawezi leta impact yoyote.Ila amini nawaambieni maneno ya Mange yana impact kubwa sana whether + or - . usiombe ukaingia kwenye 18 zake huku side B ya maisha yako ni chafu especially kama una reputation Fulani kwenye jamii.najaribu kuwakumbuka baadhi ya watu waliowahi kukinywa kikombe cha huyu Dada jinsi walivyohangaika kujiweka sawa lakini mpaka leo bado heshima yao ipo chini isipokuwa wanajitia ujasiri tu.
 
Blah blah peleka inst
 
Kabisa mkuu
 
Hana lolote kemaamalamaku
 
Mi sio siri kuna baadhi ya watu kanifanya niwadharau mnoo....
 
Hivi ikitokea demu unayetaka kumuoa wiki moja mbele ukasikia da mange wa hide my ID siku moja kabla ya Harusi anasema anamwaga kila kutu chake utafanyaje

Me nitasubiri da mange amwage kila kitu kwanza ndio nioe[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nitamuo. Hamna binadamu asiye Na back story.
Nitamuoa kwa mashamushamu yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…