Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu. Ila kila nikicheki ushuru ni 100% ya bei ya gari yaani Mjapani Nampa usd 4000 na TRA 4000 nakata tamaa. Huu ushuru ni mkali sana. Gari sio anasa ni kifaa cha kuleta maendeleo, washushe huu ushuru.Una plan ya kumilk ndinga mwakn
Almost 17.4+millionKabisa mkuu. Ila kila nikicheki ushuru ni 50% ya bei ya gari yaani Mjapani Nampa usd 4000 na TRA 4000 nakata tamaa. Huu ushuru ni mkali sana. Gari sio anasa
Ushuke na pesa ya uchaguzi tutatoa wapi? Au wapiga kura hamtak T-Shirt na vitenge?Nitafurahi sana. Hasa ukishuka kwa angalau 20%. Huu ushuru wa magari chakavu wa sasa hauna uhalisia.
Uzi tayari
Moja kwa moja namleta mrembo FortunerNitafurahi sana. Hasa ukishuka kwa angalau 20%. Huu ushuru wa magari chakavu wa sasa hauna uhalisia.
Uzi tayari
Wanasiasa wana ruzuku za vyama vyao na miradi yao kedekede. Watuache tuishi, tujenge nchi, mikungu ya ndizi inaharibikia shambani magari shamba hakuna ushuru mkali sana.Ushuke na pesa ya uchaguzi tutatoa wapi?
wewe ushuru ni 100%Kabisa mkuu. Ila kila nikicheki ushuru ni 50% ya bei ya gari yaani Mjapani Nampa usd 4000 na TRA 4000 nakata tamaa. Huu ushuru ni mkali sana. Gari sio anasa ni kifaa cha kuleta maendeleo, washushe huu ushuru.
Vitenge na t-shirt Lazima vinunuliwe Kwa pesa ya Kodi za magariWanasiasa wana ruzuku za vyama vyao
Gari ya Mwenezi Bei gan?Kodi ni za maendeleo ya nchi mabarabara nakadhalika
Mchawi ni fisiemu hilo lipo wazi majamaa manafiq sana yaleWenzetu nchi zisizo na bandari ushuru wao chee sana sijui tunafeli wapi,
Katibu Mkuu Mteule aongezewe ULINZIAulizwe mzee TupaTupa wa Lumumba ana taarifa zote. Au mzee wa Vieite
Kodi hukokotolewa kwa kuzingatia thamani ya gari kwenye soko la dunia, gharama ya usafirishaji na bima. Ikiwa gari limenunuliwa kwa fedha za kigeni kiwango cha kubadilisha fedha cha siku husika kitatumika na sio ya wakati wa kuagiza gari hilo hivyo huenda ikatofuatiana na kiwango cha kikokotoo wakati wa kuagiza.Kabisa mkuu. Ila kila nikicheki ushuru ni 100% ya bei ya gari yaani Mjapani Nampa usd 4000 na TRA 4000 nakata tamaa. Huu ushuru ni mkali sana. Gari sio anasa ni kifaa cha kuleta maendeleo, washushe huu ushuru.
Ewaaa! Tunangoja January wakiwa wametingwa na ada za watoto watuuzie magari yao kwa bei chee!!!Ushuke na pesa ya uchaguzi tutatoa wapi? Au wapiga kura hamtak T-Shirt na vitenge?