Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
mara paap nilishapamabana na hali yangu kitambo sasa napumzikia hali yangu😀😀😀😀Para paaaah ukaambiwa pambana na hali ya maisha yako mkuu
hahahahahahahaaaa daahMaraaa pap ... Kakojoe ukalaleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini haya si ni maisha ya watu?! Mbona watu wanayahangaikia?! Yaani haya hayatakiwi kumsumbua yeyote, yanamkuta kila mtu na wala hakuna aliye mjanja
Unafikiria wanaojifikiria...bora uwakumbushe kupambana na hali zetuPara paaaah ukaambiwa pambana na hali ya maisha yako mkuu
Kweli ni pombe. Duuh!Mara paaaap dayamond anasema watoto sio wa zari...
Muhudumu ongeza glass