Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Wanasema ukigombana na mwanamke chunga mdomo wako,sasa kwa hili linaloendelea kati ya Diamond na Bibie zari ni wazi sasa they are no longer,najiuliza tu siku zari akaja kuadmit zile tetesi za kuwa Tiffah na Nilan sio watoto halali wa Diamond,mmmhhhhh Mungu aepushe hili maana Ufalme wa Madale unaweza ukawa ndo end point....