Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] sema baadhi sio kila threadHata wewe unapenda ubuyu ndio maana kila thread upo.
Eti PAAP turudi enzi za kutumiana barua..mbona itakuwa majangaUmenena mkuu dunia kiganjani kwako
Hata mim simu kama haina vocha au bundle ni kama kopo aisee siku moja wafanye bureNahisi nitakuwa tajir maana inanimalizia vocha kwa ajil ya mb saiv ningekuwa Bilgates
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi kabisaMleta mada mimi ni me nikianza kutumia simu kwa mara ya kwanza 2008 motorola l 6 ,kitendo cha kujua tu matumizi ya internet kilibadili maisha yangu kwa kiasi kikubwa .
Sasa ni miaka tisa kwa kweli smartphone inanifanya niwe na furaha napenda kuchezea simu nzuri hasa kutoka big brandy kama kina samsung apple na microsoft naipenda sana smartphone
Mhhh.....Hutolia?
Huwa sigus kabisa yan kuna muda nauchuna week ila kamoyo kananidunda namiss avatar za jf ghaflaHata mim simu kama haina vocha au bundle ni kama kopo aisee siku moja wafanye bure
Hahahahaha barua s.l.pEti PAAP turudi enzi za kutumiana barua..mbona itakuwa majanga
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Duuu kumbe inakupelekesha eesmartphones zikitoweka nitalala usingizi mzuri kwa masaa mengi zaidi, angalau nitaanza tena kuangalia Tv pamoja na familia, kusikiliza radio za fm, nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
seriously?? Wakati huo wewe utakuwa katika hali gani?
Ha ha haAliyeleta smart phone ameleta matatizo
Ofisini ufanisi 0
Watoto hawasomi muda wote wanachezea smart phone
Ujamaa ,ushirikiano katika jamii ,mtaani,ujirani umekufa
Ningekuwa rais ningepiga marufuku total ban
Na bundle zingepandishwa mb200 kwa 7000/=