Mara paap! Kinana kawa makamu mwenyekiti wa chadema. Inhiiiiiiii!

Mara paap! Kinana kawa makamu mwenyekiti wa chadema. Inhiiiiiiii!

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Sijui maccm wataficha wapi nyuso zao?

Makonda na Samia kama nawaona vile wanavuonuna.
 
Sijui maccm wataficha wapi nyuso zao?

Makonda na Samia kama nawaona vile wanavuonuna.

Umuhimu wa Kinana kwenye siasa za sasa hivi ni upi?

Nadhani ni Chadema watalazimika kuficha nyuso zao kama ikitokea wakampokea Kinana kwenye Chama.
 
Mtu ambaye maisha yake yote na biashara zake zote zina connection na uCCM ataleta mapinduzi gani Chadema? Hizo ni suicidal thoughts!
Anyway, najua umepitia njia ndefu, ila ni kwamba January na Nape wote hawahitajiki Chadema.
 
Huu ndio ujinga wa hali ya juu.Kwa kisingizio cha freedom of speech.Matumizi mabaya ya ubongo na sehemu.
 
Huu ndio ujinga wa hali ya juu.Kwa kisingizio cha freedom of speech.Matumizi mabaya ya ubongo na sehemu.
Ukitaka watu wote bilioni 7 wafikiri kama wewe, utapata tabu sana mkuu
 
Back
Top Bottom