EvilSpirit JF-Expert Member Joined Jun 15, 2017 Posts 10,576 Reaction score 16,644 Jul 25, 2020 #21 Kuchungulia kwenye madirisha ya watu nyakati za usiku pia kuchungulia wadada wamama na wasichana wanaokaa vibaya
Kuchungulia kwenye madirisha ya watu nyakati za usiku pia kuchungulia wadada wamama na wasichana wanaokaa vibaya
Mkogoti TAPELI Mkubwa Joined May 3, 2020 Posts 2,415 Reaction score 3,924 Jul 25, 2020 #22 Juakali jr said: Kulala na dada na mdogo wake ex wangu Click to expand... Wewe ni buti unasukumiziwa huko
Juakali jr said: Kulala na dada na mdogo wake ex wangu Click to expand... Wewe ni buti unasukumiziwa huko
Juakali jr JF-Expert Member Joined Aug 8, 2019 Posts 737 Reaction score 1,740 Jul 25, 2020 #23 Okwanyo58 said: Wewe ni buti unasukumiziwa huko Click to expand... Mkuu ilitokea bahati mbaya kwenye msiba wa mama yao. Sio kwamba nilipanga
Okwanyo58 said: Wewe ni buti unasukumiziwa huko Click to expand... Mkuu ilitokea bahati mbaya kwenye msiba wa mama yao. Sio kwamba nilipanga
Mngurimi JF-Expert Member Joined May 27, 2020 Posts 819 Reaction score 790 Jul 25, 2020 Thread starter #24 EvilSpirit said: Kuchungulia kwenye madirisha ya watu nyakati za usiku pia kuchungulia wadada wamama na wasichana wanaokaa vibaya Click to expand... 😁😁
EvilSpirit said: Kuchungulia kwenye madirisha ya watu nyakati za usiku pia kuchungulia wadada wamama na wasichana wanaokaa vibaya Click to expand... 😁😁
SK2016 JF-Expert Member Joined Apr 6, 2017 Posts 8,016 Reaction score 13,780 Jul 25, 2020 #25 Dah! Ngoja nisizitaje tu, Naendelea na maombi ili siku akija anifikirie fikirie fasta.
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 70,785 Reaction score 186,690 Jul 25, 2020 #26 Nakunywa bia na wajumbe hapa. labda hio ndio inipeleke motoni!