Mara Paap! Leo ndiyo ikawa mwisho wa dunia, taja dhambi itakayokufanya uingie Jehanam

Mara Paap! Leo ndiyo ikawa mwisho wa dunia, taja dhambi itakayokufanya uingie Jehanam

Kuchungulia kwenye madirisha ya watu nyakati za usiku pia kuchungulia wadada wamama na wasichana wanaokaa vibaya
 
Dah! Ngoja nisizitaje tu,
Naendelea na maombi ili siku akija anifikirie fikirie fasta.
 
Nakunywa bia na wajumbe hapa. labda hio ndio inipeleke motoni!
 
Back
Top Bottom